Babake,ngoma inogile!Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.
Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.
Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!
Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).
Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.
Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.
TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.
More to follow, stay tuned!
Usiondoke Jf , maana taarifa zao zote zitafichuliwa hapa hapaMungu ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Wewe "RBC "kweli propagandist wa ajabu [emoji1787][emoji1787]
Acha yale majitu sio straight males Wala female yote yana walakini.Leo Wanabariki Huo Mkataba Hawana La Kusema Lolote
Kwa mwaka ujao wa fedha, Bandari peke yake inakwenda kuingiza takriban TZS 30 TRILLION.Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.
Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.
Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!
Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).
Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.
Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.
TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.
More to follow, stay tuned!
Ana uwezo wa kuchambua mkataba huyo kilazaKwa mwaka ujao wa fedha, Bandari peke yake inakwenda kuingiza takriban TZS 30 TRILLION.
Briefing ya wabunge hoa haitakuwa mbali na ukweli huo kwa sababu si wote wanaweza kuwa wana taarifa hiyo. Jana Mh. LUSINDE alitoba siri
Pokea taarifa hiyo kutoka kwa Mh. Lusinde
Dua ya kuiombea nchi na kuliombea BungeTaarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.
Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.
Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!
Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).
Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.
Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.
TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.
More to follow, stay tuned!
Ina maana leo vikao vya Bunge hakuna maana Wabunge karibu wote ni CCMHivi kwani Bunge letu lina wabunge mchanganyiko wa vyama? Mimi nawaona wote wabunge ni CCM
No,kwakuwa si watanganyika.Kwa kuwa si watanzania....kwa kuwa UTANZANIA wako una thamani zaidi ya UTANZANIA wa mzanzibari?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]
Tumelogwa na CCM.
Nchi shida sanaa hii. Mambo ya maana ndio yanagonga mwamba , yasio na maana uuzaji rasilimali ndio wanapita bila kupingwa.Mswada wa bima ya Afya umerudishwa mara 2 baada ya kuona hautekeleseki Sasa na hili kama Kuna shida si wanaiambia Serikali ikaboreshe makubaliano kwani lazima kuitana?
Unless mnataka mpitishe Mswaada ndio mnaitana kutishana basi sawa.
Una "mbango" wewe [emoji1787][emoji1787]No,kwakuwa si watanganyika.
Na bandari zinazouzwa ni za Tanganyika
Pumzika kwa Amani JPM
Ningekuwa Mwenyekiti wao, namteua Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro...alafu naenda zangu Marekani.Hamna wakukataza huo mkataba kuanzia wa bunge mpaka wananchi, kwanza ndani ya siku mbili hi issue itasahurika na kudadia jingine lolote, sema wazee wa kufanya diversion wamechelewa kuleta issue mpya baada ya toto Fai kuisha.