Mkataba wa Bandari ya Dar ni kitanzi. Mbaya zaidi shughuli za awali zinaanza kabla ya Bunge kukubali. Je, wananchi tutakuwa na sauti katika hili?

 
Jioneeni wenyewe jinsi Tz ilivyokuwa na itakavyokuwa shamba la bibi..
Taifa la mazombie.. makubaliano yanatiwa saini na waziri badala ya mwanasheria mkuu wa serikali
Ahaaaa! Kimangungo.
 
Tukiitisha Maandamano hamatoki, mmebakia kulia lia tu kama ke, fungeni midomo yenu
 
Hao madogo ni vilaza utaendaje kusoma masomo ya kidwanzi hivyo, kwanza ualimu ni kazi ya laana na kitumwa hawakuona fani za heshima kama sheria na nyinginezo mpaka waende kwenye ualimu fan la kilofer mpaka ngedere wanawacheka
Huyo mwalimu unayemtukana kiasi hicho na kusema ni kazi ya laana ndio aliyekufanya ukajua kusoma na kuandika. Halafu una andika ujinga kama huu
 
Hivi wapi pameandikwa kuwa ni miaka 100?
 
Miaka 100?
Mlimani City pale pia ni miaka 100 sio!

Miaka 100 inaweza ikawa sio issue, wananchi wa chini siye tunanufaikaje hapo?
  • Tunazo mechanism ya kujua na kufikia kipato halisi cha bandari yetu?
  • Wanakuja na nini? Mikopo mitupu kama Songas na IPTL?
  • Tunaweza kuwambia kuwa 75% ya net profit iwe ya nchi?

Maana ukisema nchi inanufaikaje, utakuwa unamaanisha akina Januari Madelu na Msoga clan, ambao wapo kote kote, kwenye wizi, ufisadi, na wananchi wa chini wanajiweka pia! Mikopo yote inaishia mikononi mwao.
 
Bibi ushungi abahusika kwenye kadhia hii 2025 nako mbali sana
 
Jioneeni wenyewe jinsi Tz ilivyokuwa na itakavyokuwa shamba la bibi..
Taifa la mazombie.. makubaliano yanatiwa saini na waziri badala ya mwanasheria mkuu wa serikali
Mzee Mwinyi alisema Nyerere, Mkapa na Magufuli walifanya kazi nzuri sana, ila hajui yeye na Kikwete kwanini walishindwa
 
Jioneeni wenyewe jinsi Tz ilivyokuwa na itakavyokuwa shamba la bibi..
Taifa la mazombie.. makubaliano yanatiwa saini na waziri badala ya mwanasheria mkuu wa serikali
Tukumbuke team inayofanya haya ni kutoka Zbr, wanatuuza mchana kweupe
 
Kwenye hiyo MOU ni wapi wameandika mkataba wa miaka 100?
 
Jioneeni wenyewe jinsi Tz ilivyokuwa na itakavyokuwa shamba la bibi..
Taifa la mazombie.. makubaliano yanatiwa saini na waziri badala ya mwanasheria mkuu wa serikali
CCM ni ile ile
 
sio wajinga ila wapiga kura wengi wako vijijini na vyama visivyo vya kiraia viko mijini.wanatakiwa kwenda vijijini kuwaelimisha ubaya wa serikali hii iliyoko madarakani.iwafumbue macho na kuwafanya hao walioko vijijini waikatae ccm na vibaraka wake.pia mijini nako nguvu iongezeke sababu kuna watz ambao wanadhani kwamba hakuna haja ya wao kupiga kura.ni kwamba wamekata tamaa.ukiwauliza kwa nini hawapigi kura majibu yao ni kwamba kura zao hawaoni kama zina impact yoyote.
 
Jioneeni wenyewe jinsi Tz ilivyokuwa na itakavyokuwa shamba la bibi..
Taifa la mazombie.. makubaliano yanatiwa saini na waziri badala ya mwanasheria mkuu wa serikali
Jamani naomba niulize huu ni mkataba baina ya serikali ya tanzania na serikali ya dubai au ni mkataba baina ya serikali ya tanzania na kampuni ya world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…