Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

black angel

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2022
Posts
548
Reaction score
773
Nipo natafakari hapa ni hasira, masimango au kuna kitu kingine hadi mchezaji pendwa Dejan kusitisha mkataba wake?

====
20220928_125023.jpg

Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa.

Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha kuwa mkataba wangu wa ajira umevunjika kutokana na baadhi ya vipengele kukiukwa na klabu, nawashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono na kunionesha upendo.”
 
Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa.

Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha kuwa mkataba wangu wa ajira umevunjika kutokana na baadhi ya vipengele kukiukwa na klabu, nawashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono na kunionesha upendo.”

Screenshot_20220928-123950.jpg
 
Uyo mzungu ni wahovyo kama kunakiongozi alisaidia atue simba na yeye atupishe,mchezaji mbovo kabsa
 
Back
Top Bottom