Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

ila kwa simba wanalakulaumiwa,haiwezekani wametoka kusajiri hivi karibuni halafu mwanzoni tu mwa ligi mchezaji anaachiwa kienyejikienyeji hata kama uwezo wake ulikuwa ni mdogo haikupaswa kutemineti mkataba nae
 
Lilikuwa ni suala la muda tu, sababu aliyemleta naye alishakula umeme...
Yule jamaa ameondoka mwenyewe hakufukuzwa, baada ya kubaini uhuni na ubabaishaji uliopo Simba akaclose deal na waarabu.
 
Mimi naona bora asepe zake kwani hakuwa na msaada wowote kwenye timu.Bora aachie nafasi ili klabu isajili mtu mwenye msaada.
 
Si rahisi kwa sababu anapewa dakika chache na wachezaji wenzake wanamnyima pasi. Ngumu kutoboa.
Lile goli lake moja ni jitihada binafsi.
Juzi amepata mipira mingapi? akiguswa kidogo chaliii
 
Ohoo sisi klabu yetu inaendeshwa kisasa,ohoo sisi level yetu Alhly sasa ikiwa kwenye vitu vidogo kama hivi mnachemka.

Bora aende kwa mjomba wake Misri, huku bado wana mambo ya kiswahili.

Sidhan kama unaweza kulaumu watu wa jamii hizo ambao kwao visingizio mara hali ya hewa, mara kutumiziwa mkataba na porojo zingine kama hizo. Ni hivi karibuni tu Yanga waliwqhi kuwa na watu wa jamii fulani kutoka Angola kama sikosei, aliondoka kwa visingizio ambavyo havina kichwa wala miguu. Ni jamii hizo hizo zinatokea kwa Simba. Ila Simba walipaswa wajifunze kwa Yanga kwani tabia ya watu fulani ni ngumu sana kwenda nje ya nchi zao wakatoboa. Na ingekua rahisi South Africa, Egypty, Morroco na Algeria ambao ni nchi tajiri zisingeshinwa kuajiri wachezaji angalau 5 kutoka Europe kucheza vilabu vya nchi hizo, ila wamekwepa.
Kosa lisirudiwe tena! Angalau Wabrazil wanavumilia, ingawa nao tahadhari ichukuliwe pia
 
Ingawa kunaweza kusiwepo mahusiano, Of course ile kauli ilikuwa ya kibaguzi sana. Hakuna mwafrica angekubali kuitwa vile ulaya. Totally racism.
Kiwango alichokionyesha pia kimechangia, kujinasibu ni mzungu au kufanya mambo ya kizungu imekua ni sifa nzuri kwa hapa bongo na kuna wachezaji wengi waliopita walitambulika kwa jina la mzungu na ikaonekana sawa kwa sababu waliperfom vizuri mfano kipa fulani hivi wa yanga miaka ya nyuma( nimemsahau jina) hata dejan alivyotambulishwa kama mzungu siku ya simba day bado haikuonekana ni ubaguzi tatizo lilianza baada ya kingia uwanjani na kuonekana kiwango chake ni kidogo ndipo hapo akaanza kuonekana kituko, nina ubakika kabisa angeonyesha kiwango kizuri ilo jina la mzungu lisingeonekana ni ubaguzi
 
Kocha aliyemleta hayupo, mnategemea angeendelea kuwepo??
 
Back
Top Bottom