Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa kunaweza kusiwepo mahusiano, Of course ile kauli ilikuwa ya kibaguzi sana. Hakuna mwafrica angekubali kuitwa vile ulaya. Totally racism.Waafrika wanaongoza Kwa ubaguzi ila wao hilo hawalioni.
Pia uwezo wake unatia shaka,ili abaki alitakiwa awe bonge la mchezaji mwenye kuzifumania nyavu mara kwa mara.Kwa hiyo walimlengeshea.
Tutamkumbuka lkn[emoji23]Kalpana hamna tena cha lete mzungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]walikuwa wanamuonea wivuKlabu ya wahuni,boss wao MO muhuni muhuni,wachezaji wahuni ,benchi la ufundi wahuni na timu inaendeshwa kihuni.
Tena mzungu ushukuru umeondoka bila majeruhi maana boko na phiri waliplan waende sumbawanga kijiji cha mtokwisa wakakushindilie misumari
Mkuu, Mo ndiyo keshachomoa kiana. Aliambiwa tuachie Simba yetu na anawaachia mdogo mdogo.Simba inaendeshwa kipumbavu.
Na pia inaonyesha ujinga mwingi uliokuwepo katika recruitment.
Nipo natafakari hapa ni hasira, masimango au kuna kitu kingine hadi mchezaji pendwa Dejan kusitisha mkataba wake?
====
View attachment 2370575
Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa.
Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha kuwa mkataba wangu wa ajira umevunjika kutokana na baadhi ya vipengele kukiukwa na klabu, nawashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono na kunionesha upendo.”
Kama kuna upumbavu Simba wanafanya ni kutafuta kocha ili mradi awe mzungu tu.
Waliomleta Zorani ni zaidi ya mapimbi.
Mbona Mgunda anatosha kwa nini kuwaza mzungu kila siku?
Hakuna kauli inayonikera kama tunatafuta kocha mkuu!What a fu*k