Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

Nipo natafakari hapa ni hasira, masimango au kuna kitu kingine hadi mchezaji pendwa Dejan kusitisha mkataba wake?

====
View attachment 2370575
Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa.

Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha kuwa mkataba wangu wa ajira umevunjika kutokana na baadhi ya vipengele kukiukwa na klabu, nawashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono na kunionesha upendo.”
Mecky mexime aliwahi sema mpira wa bongo unaongozwa na wajinga wajinga...ikianza TFF
 
Klabu ya wahuni,boss wao MO muhuni muhuni,wachezaji wahuni ,benchi la ufundi wahuni na timu inaendeshwa kihuni.

Tena mzungu ushukuru umeondoka bila majeruhi maana boko na phiri waliplan waende sumbawanga kijiji cha mtokwisa wakakushindilie misumari
Babu unapafahamu mtowisaa [emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Lilikuwa ni suala la muda tu, sababu aliyemleta naye alishakula umeme...
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Club yangu kuna mahala kuna shida yani tulimtaka manzoki tukaletewa Mzungu na leo wamemvunjia mkataba bila kupata replacement yao binafsi mimi Tangu mzee Pope amefariki mo na kidem chake wanatuona sisi mafirgisi sana
 
Nipo natafakari hapa ni hasira, masimango au kuna kitu kingine hadi mchezaji pendwa Dejan kusitisha mkataba wake?

====
View attachment 2370575
Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa.

Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha kuwa mkataba wangu wa ajira umevunjika kutokana na baadhi ya vipengele kukiukwa na klabu, nawashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono na kunionesha upendo.”
Ohoo sisi klabu yetu inaendeshwa kisasa,ohoo sisi level yetu Alhly sasa ikiwa kwenye vitu vidogo kama hivi mnachemka.

Bora aende kwa mjomba wake Misri, huku bado wana mambo ya kiswahili.
 
Simba Kuna shida, siku Ile menejiment inakamililisha mirejesho ndio utaona wakibwaga manyanga kinafki, haiwezekani watu wanaondoka kihunihuni tu wakati uongozi upo na hausemi kitu.
 
Aliyekua mshambuliaji wa Simba Sc Dejan (Mzungu) amethibitisha kuachana rasmi na timu ya Simba Sc leo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram amethibitisha habari hii.
Je Simba wamefanya sahihi kusitisha mkataba wake? Au hakupewa muda wa kutosha?

Binafsi namtakia kila la heri na namshkuru kwa mchango wake katika mechi alizocheza.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    28.3 KB · Views: 2
Amekosa uvumulivu. Analazimisha aanze kikosi cha kwanza wakati uwezo wake bado mdogo.

Fraga alivumilia hadi akauweza mpira wa Kibongo.

Huyo anataka aanze badala Phili jambo ambalo haliwezekani kutokana na viwango vyao.
 
Back
Top Bottom