Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mecky mexime aliwahi sema mpira wa bongo unaongozwa na wajinga wajinga...ikianza TFFNipo natafakari hapa ni hasira, masimango au kuna kitu kingine hadi mchezaji pendwa Dejan kusitisha mkataba wake?
====
View attachment 2370575
Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa.
Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha kuwa mkataba wangu wa ajira umevunjika kutokana na baadhi ya vipengele kukiukwa na klabu, nawashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono na kunionesha upendo.”
Hi laaana itawatafuna Simba sanaMasikini mzungu amechoka kupigwa kapimbini na kwenye mechi tena mbele ta kocha
Babu unapafahamu mtowisaa [emoji23][emoji23]Klabu ya wahuni,boss wao MO muhuni muhuni,wachezaji wahuni ,benchi la ufundi wahuni na timu inaendeshwa kihuni.
Tena mzungu ushukuru umeondoka bila majeruhi maana boko na phiri waliplan waende sumbawanga kijiji cha mtokwisa wakakushindilie misumari
Ohoo sisi klabu yetu inaendeshwa kisasa,ohoo sisi level yetu Alhly sasa ikiwa kwenye vitu vidogo kama hivi mnachemka.Nipo natafakari hapa ni hasira, masimango au kuna kitu kingine hadi mchezaji pendwa Dejan kusitisha mkataba wake?
====
View attachment 2370575
Mshambuliaji Dejan Georgijevic ametangaza kuvunjika kwa mkataba na Klabu ya Simba kutokana baadhi ya vipengele kukiukwa.
Dejan ameandika kwenye ukurasa wake “Nathibitisha kuwa mkataba wangu wa ajira umevunjika kutokana na baadhi ya vipengele kukiukwa na klabu, nawashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono na kunionesha upendo.”
Yanga waliwahi kuwa na kipa mzunguMzungu hawezi mpira wa kiafrika!
Huku tunaweana sisi wemyewe na akili zetu za kinyaninyani
Yanga waliwahi kuwa na kipa mzunguMzungu hawezi mpira wa kiafrika!
Huku tunaweana sisi wemyewe na akili zetu za kinyaninyani
Hakuna mchezaji palefootball
Wewe ndiyo wa hovyo.
Mzungu na timu ya Wahindi wapi na wapi Bwashee?Wameanza kumpiga uwanjani
Ila hakuonyesha huo umwambaHuyu alikua mwamba sana