Mkataba wa Dubai na Tanzania kuhalalisha Kambi 88 za Masetla wa Kiarabu nchini Tanzania?

Leo umeugusa sana moyo wangu.
Dijaeahi kukuunga mkono katika bandiko lako kama leo.

Uishi mama
Ibarikiwe sana.

Tuungane kukemea huu uhayaeani
 
na walivyo waharibifu aisee hakuna sehemu walipita pakawa salama. hata njia ya kati ya utumwa ukiangalia kuanzia pwani, dodoma, kondoa hadi ujiji sehemu walizopita utafikiri laana ilimwagwa, ni maeneo yaliyojaa uchawi, uganga, uzinzi na ukame wa rdhi, njaaa na kukosa elimu.
 
Hahahaha, kwahiyo unataka kusema kwamba Bandari itakuwa ni antecedent of settler economy ?
Katika kipindi ambacho genge la MSOGA limecheza vibaya na watanzania ni kipindi hiki aisee.
 
Kongole kwako Mama Amon,

Pamoja na Heshima na nafasi uliyonayo sirikalini, Bado umeamua kuwa MZALENDO.

Tuungane Kwa pamoja kukataa UOVU huu juu ya nchi yetu.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
Mbona kidogo sana?

Sasa hivi Waarabu walio settle Tanzania kwa enzi na enzi wappo wangapi?

Warangi 90% Waarabu.

Wa iraqw ndiyo hata jina lao loinajieleza.
wanyantuzu?
Wanyaturu kibao Waarabu kabisa.

hhaya anzeni kwanza kubaguwana na wajomba na shngazi zenu.


Mkimaliza mje kwa Wamisri wanaojenga Bwawa, hawajaacha wapwa huko?

Nusy au Zaidi ya Kariakoo ni Waarabu.

Sasa ingia wimbi litakalokuja na DPW
Mradi Ongezea.
 
Privatization
Advantages & Disadvantages


AdvantagesDisadvantages
Resources are efficiently usedPrivate players may enter the market, establishing monopoly
Facilitates healthy competitionLess transparent
Risk-sharing with governmentHigher cost to consumers
No political influence

Faida kubwa ya Ubinafsishaji ni kuongeza Ushindani, hence ufanisi na bei kushuka..., Sasa kama mtu anachukua exclusivity nachelea kujiuliza Faida ni ipi Sasa... Akapewe Bandari ya Tanga Mwingine apewe hii na wengine wapewe nyingine (Kila miaka mitano tunakaa mezani na ku-renegotiate terms).... Kwa akili zetu za mgando hatupaswi kuwaamulia wajukuu ni kama Babu zetu Waasisi walivyosema haya mambo tuyaache kwanza tupate akili (it seems like akili zetu zinarudi - reverse)
 
Hoja dhaifu sana Bi Faiza.
 
Huu ni wongo mkubwa!
Iraqw people are cushitic, not arabic as you tend to purport.
Even a language they speak is classified within Afro-Asiatic Family.
 
Upuuzi kama huu unawapata watu wenye uelewa mdogo wa dunia ya sasa inavyokwenda.

Muda sio mrefu serikali inakwenda kusaini mikataba ya kibiashara na kampuni ya DPW, hizi ngonjera ziende kwa waalimu wa historia wa darasa la nne shule ya msingi.
 
Kuwa na hoja na kuandika uongo ni sawa?
Kambi za masetla? Dpworld wako Rwanda ..kuna kambi ya masetla?
Dpworld wako Uk na German kote huko kuna kambi za masetla? seriously??
Uzi kama huu wa kipumbavu unakupa picha ya akili nyingi za kitanzania za miaka ya sasa. Huwa hazina mantiki zenye kueleweka, zinapenda kujikita kwenye ujinga na udaku matokeo yake wanaaminisha vitu vya kitoto kama hivi anavyoleta mleta mada.
 
Thread nyingine hiyo, ndeeeefu unaweza kudhani labda kuna jipya ndani. Lkn nna uhakika haina jipya hata bila kuisoma.
Ni mwendelezo wa vijithread vya bandari hali ya kuwa wenye bandari yao wamerulia tuli
 
Wanayoyadhihirisha ni kidogo sana kuliko waliyoyaficha mioyoni mwao
 
Punguza upuuzi wako, shangazi yako amekosea wacha aambiwe ukweli, kama unaumia hutaki aendelee kusemwa mwambie avunje ule mkataba wa hovyo alioingia kwa ujinga wake.
Ujinga ni tatizo la uelewa wako na chuki ulizonazo kwake. Angekuwa rais ni hayati JPM msingethubutu kuongea chochote na muda huu angekuwa keshasaini mikataba ya biashara kitambo tu.
 
Kuwa na hoja na kuandika uongo ni sawa?
Kambi za masetla? Dpworld wako Rwanda ..kuna kambi ya masetla?
Dpworld wako Uk na German kote huko kuna kambi za masetla? seriously??
Think big,Think outside the box..Fikiri ya kesho kutwa..
 
Uzi kama huu wa kipumbavu unakupa picha ya akili nyingi za kitanzania za miaka ya sasa. Huwa hazina mantiki zenye kueleweka, zinapenda kujikita kwenye ujinga na udaku matokeo yake wanaaminisha vitu vya kitoto kama hivi anavyoleta mleta mada.
Bwana Mtanzania,

Kuna wakati unaweza ukahisi wewe uko sahihi lakini ukweli ni kwamba umepoteza. Itoshe kusema hakuna anayekataa uwekezaji hapa Tanzania. Ninyi mnaoshabikia huu mradi mmeangalia upande wa faida na maslahi bila kuangalia vipengele na aina ya mkataba. Sehemu nyingine zote ambapo mmetoa mifano, DP World imesaini mikataba ya tofauti kabisa na huu wa kwetu.

Mwaka 1994, United Arab Emirates na Uingereza walisaini Bilateral Investment Treaty (BIT) ili kulinda uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Ule mkataba ndiyo umeruhusu concession ya DP World kuendeleza na kuendesha bandari ya London Gateway. Kule Uingereza wamapewa bandari moja tu ya London Gateway. Ule mkataba wetu umekaa vibaya mno na unawapa bandari zetu zote. Mkataba unatupa ukakasi mwingi.

Hivi kweli unadhani hakuna watanzania wanaweza kuendesha bandari za kwenye maziwa makubwa hadi uwape kila kitu hawa wageni ? Mtu mjinga tu ndiyo anaweza kushadadia faida za huu uwekezaji bila kuangalia madhara ya muda mrefu ya vifungu vya sheria.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…