Mkataba wa Dubai na Tanzania kuhalalisha Kambi 88 za Masetla wa Kiarabu nchini Tanzania?

Mkataba wa Dubai na Tanzania kuhalalisha Kambi 88 za Masetla wa Kiarabu nchini Tanzania?

Yani Faiza na the boss wako hoi muda huu kwa nondo za mtoa mada
Duh kwa hiyo nyie furaha yenu ni kuwaweka watu hoi na huku wakiendelea tu na msimamo wao.
Ndo mana nasema kwa tz hii hatuna wapambanaji. Tuna watu wanaoridhika kabisa kuwa eti tumewapiga nondo
 
Watu wanagombania mfumo dah inatisha sana kampuni ambayo ipo nchi nyingi ulaya ije ilete ukoloni Tanzania sema tu ukweli mleta Uzi kuwa una hofu na uislam kupewa nguvu na waarabu na mfumo wenu uliotengenezwa kwa miaka mingi kukosa nguvu hapa kila mtu anatetea maslah yake akitawala raisi mkristu inakuwa Tanzania akitawala mwislam inageuka kuwa Tanganyika duh
Jibu lako hili chini👇👇
Mikataba ya huko ni sawa na huu wetu? Huu wetu usiokuwa na ukomo ni halali mtu akisema 'masetla' kwakuwa haawana ukomo wa kuwepo ni permanent.
 
Hakiondoki kitu. Nanyumbulisha hoja hapa chini ili akili ikuingie:

Kwa kifupi nimeandika hoja ifuatayo:

1. Kuna wakoloni wa aina mbili, yaani mkoloni wa kimapokeo (traditional colonialism) na mkoloni wa kilowezi (setller colonialism), ambapo, mkoloni wa kimapokeo anafika kwenye koloni ili kuteka rasilimali watu na kuitumia kuvuna maliasili na kuhamisha faida kwa ajili ya kuipeleka katika nchi mkoloni, wakati mkoloni mlowezi anafika kwenye koloni kuteka ardhi, watu na rasilimali zao ili kujenga makazi mapya ya kudumu, ama kwa kuwahamisha wazawa au kuwateketeza.

2. Mkataba wa Tanzania-Dubai umetoa haki ya umiliki wa milele wa haki za matumizi (eternal use ownership rights) ya bandari 88 za Tanzania Bara, na pia umetoa haki ya umiliki wa milele wa haki za kuvuna faida (eternal fruits ownership rights) kutokana na bandari 88 za Tanzania Bara, jambo ambalo linaipa Dubai haki ya kuanzisha makazi ya kudumu katika ardhi ya Tanzania, na hivyo kuwa na sifa ya kuitwa mkoloni mlowezi.

3. Kwa hiyo, nikahitimisha kwamba, Mkataba wa Tanzania-Dubai unafungua milango ya kuanzishwa kwa kambi 88 za walowezi wa Kiarabu nchini Tanzania, ambapo kambi hizo zitakuwa kwenye mwambao wa Pwani na kwenye mmaeneo ya mmaziwa ya Tanganyika, Viktoria na Tanganyika.
Eti hakiondoki kitu hapa. Utadhani kweli kumbe ni nyuma ya keyboard tu
 
Leo umeugusa sana moyo wangu.
Dijaeahi kukuunga mkono katika bandiko lako kama leo.

Uishi mama
Ibarikiwe sana.

Tuungane kukemea huu uhayaeani
Jazaneni tu maujinga na kujifariji, wenye bandari yao washaiuza na wako kimya...
 
na walivyo waharibifu aisee hakuna sehemu walipita pakawa salama. hata njia ya kati ya utumwa ukiangalia kuanzia pwani, dodoma, kondoa hadi ujiji sehemu walizopita utafikiri laana ilimwagwa, ni maeneo yaliyojaa uchawi, uganga, uzinzi na ukame wa rdhi, njaaa na kukosa elimu.
Hii ndo itasaidia wasichukue bandari?
 
Bwana Mtanzania,

Kuna wakati unaweza ukahisi wewe uko sahihi lakini ukweli ni kwamba umepoteza. Itoshe kusema hakuna anayekataa uwekezaji hapa Tanzania. Ninyi mnaoshabikia huu mradi mmeangalia upande wa faida na maslahi bila kuangalia vipengele na aina ya mkataba. Sehemu nyingine zote ambapo mmetoa mifano, DP World imesaini mikataba ya tofauti kabisa na huu wa kwetu.

Mwaka 1994, United Arab Emirates na Uingereza walisaini Bilateral Investment Treaty (BIT) ili kulinda uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Ule mkataba ndiyo umeruhusu concession ya DP World kuendeleza na kuendesha bandari ya London Gateway. Kule Uingereza wamapewa bandari moja tu ya London Gateway. Ule mkataba wetu umekaa vibaya mno na unawapa bandari zetu zote. Mkataba unatupa ukakasi mwingi. Mtu mjinga tu ndiyo anaweza kushadadia faida bila kuangalia vifungu.​
Kilichosainiwa sio mkataba ni azimio la makubaliano ya kuja kufanya biashara. Hatua inayofuata sasa ndio kusaini mikataba yenyewe.

Huu ndio wakati wa kuwa makini katika kutanguliza maslahi ya Tanzania yetu kibiashara. Wakati wa kusaini hizo HGA ni muda wa kwenda kwa umakini kipengele kwa kipengele.

Tukumbuke kuwa IGA haina nguvu kwani haiwezi ikawekwa kila masharti yetu kama nchi, ni katika hii mikataba ya kibiashara ndio tunakuwa na sauti ya kipi kiandikwe na kipi kisiandikwe.

Watanzania ni wajuaji mno, na kila mtu anakuja na upotoshaji anaojisikia kuufanya.
 
Mbona kidogo sana?

Sasa hivi Waarabu walio settle Tanzania kwa enzi na enzi wappo wangapi?

Warangi 90% Waarabu.

Wa iraqw ndiyo hata jina lao loinajieleza.
wanyantuzu?
Wanyaturu kibao Waarabu kabisa.

hhaya anzeni kwanza kubaguwana na wajomba na shngazi zenu.


Mkimaliza mje kwa Wamisri wanaojenga Bwawa, hawajaacha wapwa huko?

Nusy au Zaidi ya Kariakoo ni Waarabu.

Sasa ingia wimbi litakalokuja na DPW
Mradi Ongezea.
Duh!
 
Shida yenu ni waarabu mengine ni kutafuta kwa kujifichia tu

Siku anaachia madaraka huyu mama watamlilia sana na kumkumbuka kwa mazuri, hawa wanatakiwa kutawaliwa na dikteta asie na huruma na wananchi wake, muda utaongea wee subiri tu
 
Shida yenu ni waarabu mengine ni kutafuta kwa kujifichia tu
Shida yao pia ni urais wa Samia, umekuwa unawauma sana tangu JPM alipofariki dunia, hakuweza hata kuwaza kwamba Magufuli angeaga dunia kipindi kile wakawa wanajitanua huko kwenye nafasi zao za juu serikalini.

Kifo chake kikawapiga butwaa wakabakia wamechanganyikiwa hawajui washike lipi waache lipi.
 
JF ondoeni uzushi huu wa kipuuzi, au nanyi mnafaidika na upuuzi huu? Kumbukeni tuna nchi moja na mauaji ya kimbari ya Rwanda yalianza na chuki km hizi na uwongo mwingi uliopaliliwa na vyombo vya habari. Tambueni wajibu wenu km mhimili wa nne wa dola
Wewe nazani utakuwa ni ndugu yake nape mpo vizuri sana kupinga bila hoja
 
Inajirudia historia.

Zamani wakoloni walifika kwa kubahatisha wakitumia majahazi na merikebu katika pwani za nchi geni na kuwalaghai watu walioowakuta.

Leo hii sisi wenyewe tunajipeleka hadi kwao kuwalilia waje waokoe jahazi kuwa tumishindwa kuendesha kampuni, shirika la umma na kuwa wizara husika haina maono ya kuwezesha waTanzania waendeshe mfano bandari n.k

Ama kweli historia inajurudia sisi kukimbilia nchi za kaskazini na mashariki ya kati na Mashariki ya mbali kuwa wenyewe hatujiwezi .
1688503014871.png


Ghengis Khan wa Mongol, waTuruki, WaDachi na waAzetc wa kale walisema ogopa sana wageni wanaoonekana wakija kwenu huku wakiwa wamepanda farasi au wamefika pwani kwa vyombo kama majahazi au merikebu.
1688501959669.png

Watu hawa wageni wa kutoka mbali hadi kuifunga safari hiyo ujue wana kitu wanakitafuta maana hawawezi kukatiza nyika, majangwa, milima, mabonde au bahari kuu za Hindi, Atlantic, Pacific kwa ajili ya matembezi huku wameacha familia, wake, watoto, wazazi na kwenda nchi ngeni

1688501796054.png



Merikebu ya kutoka Portugal iliyotumika kukusanya taarifa zilizopelekea kutawala makoloni nchi za mbali

A 15th century Portuguese caravel. it had three masts and a lateen or triangular sail which allowed the caravel to sail against the wind.
A 15th century Portuguese caravel. it had three masts and a lateen or triangular sail which allowed the caravel to sail against the wind Conquerors: How Portugal Forged the First Global Empire by Roger Crowley (2015)

Sisi tunapokea bila tahadhari yoyote na kuwahesabu kuwa hawa ni wadau wa maendeleo kuwezesha tujikwamue tulipo kwana. Tunaongozwa na kauli za niamini, nina nia njema nimekuja kuwakomboa kutoka katika kila changamoto ya kijamii kuanzia muachane na miungu yenu ya mizuka, zolelanga tuwachimbie visima vya maji, elimu isiyoendana na uwezo wa kuwakwamua mlipo kwama hadi mpige hatua.

Kifupi tume sarenda mioyo, akili na historia yetu na kusahau kwa makusudi mazima kuwa tuliweza kupambana na mazingira yetu mfano tukichimba visima vya maji vijijini kwa ujuzi tuliorithi kutoka kwa mababu bila kutegemea mfadhili wa kutoka nje, tulilima, kutunza mazingira na kujichimbia mifereji ya kumwagilia mashamba n.k n.k Leo hii hatujiwezi kabisa tumekuwa na ulemavu usio wa kuzaliwa wala ajali ya kuangukiwa na jabali n.k
 
na walivyo waharibifu aisee hakuna sehemu walipita pakawa salama. hata njia ya kati ya utumwa ukiangalia kuanzia pwani, dodoma, kondoa hadi ujiji sehemu walizopita utafikiri laana ilimwagwa, ni maeneo yaliyojaa uchawi, uganga, uzinzi na ukame wa rdhi, njaaa na kukosa elimu.

Chuki na roho mbaya itawamaliza enyi mliojawa chuki vifuani mwenu dhidi ya waarabu na uislamu kwa ujumla, kisa aliepewa bandari ni mwarabu na ni muislamu . Mbona wazungu wenu, wachina na wahindi wenu wamemiliki migodi n.k na mpo kimya wala kutia neno!
 
Back
Top Bottom