Mkataba wa Lugumi wapelekwa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama!

Mkataba wa Lugumi wapelekwa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama!

Halafu kuna watu wanadhani CCM ya sasa ina tofauti na ya jana

Noooooooooooooooooo

Ni suala la Muda tu

Mwaka 2018 Lugha ya Jukwaani humu itabadilika

CCM is very predictable.......Wanachofanya sasahivi ni kudeal na vidagaa walioko serikalini

Real thieves ni hao Viongozi wakubwa wa hichi Chama...na llies wao.......
CCM ni ile ile ambayo Rais anapambana na rushwa wao wapo bize bize na tuhuma za Rushwa. You can imagine mbunge anachukua rushwa! Utaweza kudhani ni jambo geni kabisa, no ! Wameona katibu mkuu wa wizara ya nishati akigawa rushwa kwa macho yao chini ya maagizo ya mwenyekiti wa CCM na alipoambiwa akasema 'yatapita kama upepo''

Huu ni utamaduni wa CCM na wote wamezaliwa na kukulia CCM, wataachaje utamaduni wao?
Waliuza nyumba za serikali wakazinunua wenyewe, wakakaa hotelini miezi 6 halafu kujenga mpya!! think about that

Hili la Lugumi unaona linavyofichwa fichwa, serikali inahusika kwa kuficha ukweli, wanachotafuta ni mahali pa kutokea!
Hakuna namna awamu ya tano itajikosha na hili isipokuwa kutenda uwazi.

Hili la Lugumi limeichafua sana awamu ya tano, hata hivyo ni kawaida kwasababu ni utamaduni wa CCM! Kipi kipya?
 
Hii mikataba jamani iwe inapita Bungeni na hili liwe ni takwa la kisheria.

Raisi kama umeamua kupambana na ufisadi basi hakikisha tunakuwa na sheria inayolazimisha mikataba yote ya serikali iwe inapita Bungeni hasa ile mikataba mikubwa inayohusu mabilioni ya shilingi.

Mikataba hii ingekuwa inapita Bungeni bila shaks tungepunguza haya matatizo.

Pitieni hapa muone mapya:

Www.mtanzania.co.tz
 
Salary slip uko sahihi kabisa ila hilo haliwezekani hata kidogo!!! Watu wanahitaji kula bwana sasa huko si kufunga mfereji? nimeipenda hii
“Ukitazama sakata hili, the main issue (jambo la msingi) ni fedha zilizochukuliwa ukilinganisha na kazi iliyofanywa, suala hapa si mashine za vidole hoja ni fedha.

“Kwa msingi huo, Kamati ya PAC ndiyo yenye jukumu la kukagua hesabu za Serikali, tangu lini Kamati ya Mambo ya Nje ikashughulika na hesabu?

“Wao kazi yao ni kuangalia diplomasia na masuala ya usalama, sisi hatuko huko shida yetu tunataka kujua kuhusu fedha za umma zilizopigwa mchana kweupe,”
 
wale watoto wa nyerere walikuwa " WASHAMBA "
Kweli wewe ni bwege!!Washamba au walililelewa kwenye familia yenye maadili mema na mazuri acha ujuha.Unaona ufahari kuwa FISADI? kweli Tanznaia yangu imevamiwa na viwavi.
 
Ikiwa hakuna aliye wai kuona mkataba huo utata na ufisadi umetokea wapi?
 
Tuwe na subira. Hapana chezea serikali ya Magufuli

PAC ndio walianza, sasa iweje wahamishie kamati nyingine???

Tena ambayo inaongozwa na aliyekuwa kiongozi wa JESHI La polisi!!!!!!!!!!!

KESI YA NYANI KUMPELEKEA NGEDERE INAWEZEKANA KWELI???????????

CHANGA LA MACHO HILO!!!!!!!!!! WABUNGE KUWENI MAKINI HAPA KUNA KITU KINAENDELEA CHINI YA CARPET...............
 
Anayo hoja, nwaka huo 2011 mkataba ukiwa unaandikwa jee Adadi alikuwa kesha staafu u DCI?
Pia Adadi huyu dadake kaolewa na Saidi Mwema, mtoto wa Saidi Mwema kaolewa na Lugumi, mke wa Lugumi anamuita Adadi Mjojomba, hapa hoja kuwa Adada atafanya upendeleo kwa Lugumi ni kubwa sana.
 
Ikiwa hakuna aliye wai kuona mkataba huo utata na ufisadi umetokea wapi?

KWA NINI HAWATAKI KUIKABITHI PAC HUO MKATABA KAMA HAKUNA UTATA?????????

MKTABA UNAHUSIANA NA PESA... NA PAC WANAHUSIANA NA PESA PIA ZA SERIKALI........

IWEJE WAINGILIE KATI KAMATI AMBAYO NI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA??????

WAO WASUBIRI PAC WAMALIZE KAZI YAO KISHA PAC NDIO WATAFIKISHA KWA HIYO KAMATI YA MAMBO YA ULINZI NA USALAMA KUWA "SISI TUMEFIKIA HAPA NA TUMEGUNDUA KITU HIKI.... SASA ENDELEENI UPANDE WENU...."

KWA NINI WANADANDIA TRENI KWA MBELE NA IKIWA WANAJUA KUWA NI HATARI??????
 
Pia Adadi huyu dadake kaolewa na Saidi Mwema, mtoto wa Saidi Mwema kaolewa na Lugumi, mke wa Lugumi anamuita Adadi Mjojomba, hapa hoja kuwa Adada atafanya upendeleo kwa Lugumi ni kubwa sana.
Masikini Tanzania!!!!.png
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Kweli wewe ni bwege!!Washamba au walililelewa kwenye familia yenye maadili mema na mazuri acha ujuha.Unaona ufahari kuwa FISADI? kweli Tanznaia yangu imevamiwa na viwavi.
pole mkuu .
 
Hakuna jipya kwa utawala wa ccm.kama kweli magufuli ana uzalendo na taifa hili angekua ameshawatumbua wahusika kama wengine wanavyotumbuliwa.Katika sakata hili amekua na kigugumizi kuchukua hatua.
 
Back
Top Bottom