Mkataba wa Lugumi wapelekwa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama!

Mkataba wa Lugumi wapelekwa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama!

Wakati fulani Mheshimiwa Zitto kabwe alijaribu sana kutoa ufafanuzi kuwa Kamati zote za Bunge zina umuhimu na nguvu iliyo sawa. alifanya hivi baada ya fununu kuwa yeye mara hii babada ya uchaguzi wa 2015 kuna uwezekano wa njama za kuondolewa kwenye kamati ya PAC ambayo yeye na Marehemu Filikunjombe waliitumikia kwa umahili mkubwa.

Kamati ya Bunge ya mahesabu Serikali na Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama zote mbili ni kamati za bunge "zenye nguvu na umuhimu ulio sawa" lakini kwa maelezo ya gazeti lililokaririwa hapo juu na kuungwa mkono na wachangiaji wengi katika jukwaa hili ni kuwa Mkataba kuhamishiwa katika kamati nyingine ndani ya Bunge hilohilo la JMT ni njama za kuuficha!!!!

Mkataba huu ambao chanzo chake kujulikana ni Ripoti ya CAG sasa tunaambiwa kuna njama za kupotea pamoja na kupitia vyombo vyote hivi vitatu, maana yake wakati utakapofika wa kuijadili ripoti hii ya CAG Bungeni ishu ya mkataba huu itakuwa imefichwa na hata kwenye makablasha ya CAG itakuwa imenyofolewa hivyo hautajadiliwa!!!

Najaribu kutafakari vyombo vya habari na mitandao ya kijamii inatupeleka wapi, sababu mkataba huu wa Ligumi Enterprises unajadiliwa na kamati za Bunge kutaka kujua nini kilitokea hata hayo ya kafanyika, hata kabla ya kupata majibu ya kamati hizi (ambayo ni lazima itolewe wakati wa kujadiliwa ripoti ya CAG Bungeni) zimeanza kutolewa hukumu!!!

Mpaka sasa kamati zote mbili zinaonyesha kutaka maelezo toka kwa chombo cha Polisi na wala si "Wakurugenzi" wa kampuni na wala hawajaitwa mbele ya tume wala kupewa masharti yoyote wakiendelea kutafuta ukweli huu lakini leo mmoja wa wakurugenzi anaendelea na shughuli zake za maisha tunaambiwa 'Katotoka". Na hata kama kweli ameondoka kuogopa mjadala huu kwa sheria ya Makampuni ni lazima kampuni iwe na zaidi ya mkurugenzi mmoja, maana yake mmoja akisafiri kuna wengine wanaoweza kutoa majibu. Sheria inayosema hata kama kuna ulazima wa kufilisiwa itafanyika hivyo kwa mali za Kampuni na wala si mali binafsi za wakurugenzi, ni nini waandishi wanataka kutuaminisha?

Binafsi naona jambo hili linashadadiwa kisiasa zaidi na mihemuko isiyo na subira.
 
huyu jamaa anayeitwa chakaza ameuliza kama adadi alikwisha staafu huo mwaka 2011 , kwa hiyo badala ya kumtisha na mambo ya kisutu ulipaswa tu kujibu kama alivyouliza .
Na wewe badala ya kuielewa msg yangu unaituhumu kwa kumtisha mtu. kuna mahali nimemsema jamaa ama nimegenralise?????????
 
Wakati fulani Mheshimiwa Zitto kabwe alijaribu sana kutoa ufafanuzi kuwa Kamati zote za Bunge zina umuhimu na nguvu iliyo sawa. alifanya hivi baada ya fununu kuwa yeye mara hii babada ya uchaguzi wa 2015 kuna uwezekano wa njama za kuondolewa kwenye kamati ya PAC ambayo yeye na Marehemu Filikunjombe waliitumikia kwa umahili mkubwa.

Kamati ya Bunge ya mahesabu Serikali na Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama zote mbili ni kamati za bunge "zenye nguvu na umuhimu ulio sawa" lakini kwa maelezo ya gazeti lililokaririwa hapo juu na kuungwa mkono na wachangiaji wengi katika jukwaa hili ni kuwa Mkataba kuhamishiwa katika kamati nyingine ndani ya Bunge hilohilo la JMT ni njama za kuuficha!!!!

Mkataba huu ambao chanzo chake kujulikana ni Ripoti ya CAG sasa tunaambiwa kuna njama za kupotea pamoja na kupitia vyombo vyote hivi vitatu, maana yake wakati utakapofika wa kuijadili ripoti hii ya CAG Bungeni ishu ya mkataba huu itakuwa imefichwa na hata kwenye makablasha ya CAG itakuwa imenyofolewa hivyo hautajadiliwa!!!

Najaribu kutafakari vyombo vya habari na mitandao ya kijamii inatupeleka wapi, sababu mkataba huu wa Ligumi Enterprises unajadiliwa na kamati za Bunge kutaka kujua nini kilitokea hata hayo ya kafanyika, hata kabla ya kupata majibu ya kamati hizi (ambayo ni lazima itolewe wakati wa kujadiliwa ripoti ya CAG Bungeni) zimeanza kutolewa hukumu!!!

Mpaka sasa kamati zote mbili zinaonyesha kutaka maelezo toka kwa chombo cha Polisi na wala si "Wakurugenzi" wa kampuni na wala hawajaitwa mbele ya tume wala kupewa masharti yoyote wakiendelea kutafuta ukweli huu lakini leo mmoja wa wakurugenzi anaendelea na shughuli zake za maisha tunaambiwa 'Katotoka". Na hata kama kweli ameondoka kuogopa mjadala huu kwa sheria ya Makampuni ni lazima kampuni iwe na zaidi ya mkurugenzi mmoja, maana yake mmoja akisafiri kuna wengine wanaoweza kutoa majibu. Sheria inayosema hata kama kuna ulazima wa kufilisiwa itafanyika hivyo kwa mali za Kampuni na wala si mali binafsi za wakurugenzi, ni nini waandishi wanataka kutuaminisha?

Binafsi naona jambo hili linashadadiwa kisiasa zaidi na mihemuko isiyo na subira.
Maelezo yako hayaelezi ilikuwaje kamati hizi mbili zikafanya kazi katika mazingira ya kutatanisha namna hii

Kwanini PAC walipewa go ahead ikiwa si jukumu lao

Kubwa zaidi, hakuna taarifa rasmi za mkanganyiko huu.

Kilichotokea ni m/kiti wa ulinzi na usalama kupewa nyaraka zilizoombwa na kamati ya PAC

Kama zinafanya kazi pamoja inakuwaje basi kamati moja inapata wakati mgumu kupata nyaraka nyingine ikipelekewa bila kuomba?

Pili, inakuwaje mwenyekiti wa kamati ya usalama ndiye anayefafanua na si uongozi wa bunge? Kuna kusita sita kwa jambo gani?

Tunajua mkataba ulipitiwa na CAG, hata hivyo ulipaswa kuingia bungeni ujadiliwe

Kwa kupitia kamati ya ulinzi na usalama mkataba huo unaweza usijadiliwe kwa kutumia kipengele cha 'suala nyeti linalohusu usalama wa taifa'

Hadi hapo midomo yawananchi na wabunge itakuwa imefungwa.
Mkataba utakuwepo lakini maamuzi hayatatokana na mjadala wa wazi

Hizi ni dalili njema kabisa za kuua LUGUMI kwa njia za ubabaishaji kama uliokuwepo miaka 10 ikiwemo escrow. Ni ubabaishaji tu hakuna jingine
 
Maelezo yako hayaelezi ilikuwaje kamati hizi mbili zikafanya kazi katika mazingira ya kutatanisha namna hii

Kwanini PAC walipewa go ahead ikiwa si jukumu lao

Kubwa zaidi, hakuna taarifa rasmi za mkanganyiko huu.

Kilichotokea ni m/kiti wa ulinzi na usalama kupewa nyaraka zilizoombwa na kamati ya PAC

Kama zinafanya kazi pamoja inakuwaje basi kamati moja inapata wakati mgumu kupata nyaraka nyingine ikipelekewa bila kuomba?

Pili, inakuwaje mwenyekiti wa kamati ya usalama ndiye anayefafanua na si uongozi wa bunge? Kuna kusita sita kwa jambo gani?

Tunajua mkataba ulipitiwa na CAG, hata hivyo ulipaswa kuingia bungeni ujadiliwe

Kwa kupitia kamati ya ulinzi na usalama mkataba huo unaweza usijadiliwe kwa kutumia kipengele cha 'suala nyeti linalohusu usalama wa taifa'

Hadi hapo midomo yawananchi na wabunge itakuwa imefungwa.
Mkataba utakuwepo lakini maamuzi hayatatokana na mjadala wa wazi

Hizi ni dalili njema kabisa za kuua LUGUMI kwa njia za ubabaishaji kama uliokuwepo miaka 10 ikiwemo escrow. Ni ubabaishaji tu hakuna jingine
Nachitaka kufahamu wajumbe Wa Kamati ya binge mambo ya nje, ulinzi na usalama sio wabunge sawa na Wa kamati nyingine? Najua unyeti wa masuala ya usalama wa Taifa, ambayo hata sasa yameshakiukwa sababu kama ni adui amejua jeshi letu halina mfumo Wa utambuzi, lakini haimaanishi kuwa huko mkataba hautajadiliwa. Bali utajadiliwa kwa taratibu na maadili hayo yanayoitwa ya 'Usalama wa Taifa' na Spika kupewa Taarifa. ingalikuwa kuna suala la kuficha angeanza CAG!!
 
Nachitaka kufahamu wajumbe Wa Kamati ya binge mambo ya nje, ulinzi na usalama sio wabunge sawa na Wa kamati nyingine? Najua unyeti wa masuala ya usalama wa Taifa, ambayo hata sasa yameshakiukwa sababu kama ni adui amejua jeshi letu halina mfumo Wa utambuzi, lakini haimaanishi kuwa huko mkataba hautajadiliwa. Bali utajadiliwa kwa taratibu na maadili hayo yanayoitwa ya 'Usalama wa Taifa' na Spika kupewa Taarifa. ingalikuwa kuna suala la kuficha angeanza CAG!!
CAG kawashtukiza akujua anasaidia kutumbua jipu
Hakujua jipu limeota 'kwa babamkwe' na huko si kila mmoja anaweza kupeleka vidole kwa ukamuzi!

Kamati zote ni sawa, usichotueleza illikuwaje PAC ikaanza na hili jambo ikinyimwa mkataba, halafu kamati ya ulinzi na usalama ikapelekewa tu bila kuomba? Nini kilikwenda kombo hapo!

Bunge limekaa kimya, nini kinaendelea kamati zikijipangia kazi tu kiholela?

Kwanini ichukue muda mrefu kutoa faili kabatini ili lifanyiwe kazi?

Kujadili mjadala katika 'muktadha' wa suala nyeti unaweka mipaka. Wataleta wanachotaka kijadiliwe siyo kile kinachopswa kujadiliwa. Wanacheza na akili zetu, wanatambu litapita tu wanaendelea kutafuna 'njii' hii

Kesho wanataka tuwaombee kwa mungu, taifa halihitaji kumuombea mtu linahitaji kujiombea kwa kuporwa katika udanganyifu huu wa kulindana kwa miaka 10 na sasa wa 11. Wanalindana tu
 
Haya mambo yanaendelea kujichanganya tu

Kulikuwa na 'habari zisizo rasmi' kuhusu katibu mkuu husika kusema kapokea maagizo
Mara kakanusha the na kwamba kamati ya ulinzi haijapewa mkataba

MsemajiUkweli bado haoni tu, anaamini kila jambo lipo sawa sawa kabisaa!

Ukitaka kujua ipo namna, fikiria kidogo tu kuwa PAC 'waliamka na kwenda kudai mkataba' bila kuwa na mwongozo wa Bunge'' !!!!. Mkataba kama anavyodai mwenyekiti wa ulinzi na usalama alikabidhiwa. Aliyeomba siye aliyekabidhiwa

Inachukua zaidi ya wiki moja kutoa faili kabatini

Kwa maana nyingine kamati za bunge zinajiendea tu bila mwongozo

Upande wa pili wizara husika yenye tuhuma inakimbia kulia na kushoto
Wenye mradi wamekaa kimyaa, walioomba pesa za mradi wapo kimya, wasimamizi wa kazi za mradi wapo kimya

Anayesimamia wizara na miradi yupo kimyaa!

Bunge linalosimamia kamati lipo kimyaa!

Mvurugano unaendelea tu hakuna anayejua nini kinaendelea

Tunaishi leo na kutenda ya jana. Tumerudi katika eneo letu tulilozoea, ufisadi kisha kulindana.

Taratibu mnatuelewa tu!

Mag3 JokaKuu The Boss Nyani Ngabu
 
Haya mambo yanaendelea kujichanganya tu

Kulikuwa na 'habari zisizo rasmi' kuhusu katibu mkuu husika kusema kapokea maagizo
Mara kakanusha the na kwamba kamati ya ulinzi haijapewa mkataba

MsemajiUkweli bado haoni tu, anaamini kila jambo lipo sawa sawa kabisaa!

Ukitaka kujua ipo namna, fikiria kidogo tu kuwa PAC 'waliamka na kwenda kudai mkataba' bila kuwa na mwongozo wa Bunge'' !!!!. Mkataba kama anavyodai mwenyekiti wa ulinzi na usalama alikabidhiwa. Aliyeomba siye aliyekabidhiwa

Inachukua zaidi ya wiki moja kutoa faili kabatini

Kwa maana nyingine kamati za bunge zinajiendea tu bila mwongozo

Upande wa pili wizara husika yenye tuhuma inakimbia kulia na kushoto
Wenye mradi wamekaa kimyaa, walioomba pesa za mradi wapo kimya, wasimamizi wa kazi za mradi wapo kimya

Anayesimamia wizara na miradi yupo kimyaa!

Bunge linalosimamia kamati lipo kimyaa!

Mvurugano unaendelea tu hakuna anayejua nini kinaendelea

Tunaishi leo na kutenda ya jana. Tumerudi katika eneo letu tulilozoea, ufisadi kisha kulindana.

Taratibu mnatuelewa tu!

Mag3 JokaKuu The Boss Nyani Ngabu


Utawala huu ulikuja na kile walichosema
mtu anasimamishwa kupisha uchunguzi
sasa Kitwanga kwa vyovyote yeye kuendelea kuwa waziri
huku hii kashfa ipo wizarani kwake na yeye ni mtuhumiwa hakuleti mantiki

Lakini kwa kuwa ni mtu wa karibu wa Rais naona standards zinabadilika...

mkuki kwa nguruwe
 
Utawala huu ulikuja na kile walichosema
mtu anasimamishwa kupisha uchunguzi
sasa Kitwanga kwa vyovyote yeye kuendelea kuwa waziri
huku hii kashfa ipo wizarani kwake na yeye ni mtuhumiwa hakuleti mantiki

Lakini kwa kuwa ni mtu wa karibu wa Rais naona standards zinabadilika...

mkuki kwa nguruwe
Niliwahi kutoa ombi kwa Magufuli kwanza akiri na kuwaomba radhi Watanzania kwa ushiriki wake na chama chake katika mfumo uliozaa mazingaombwe yote haya na kuwaomba Watanzania wamuunge mkono. Watu hawakunielewa na sasa kwa vyovyote vile amechelewa kwani meli tayari limeng'oa nanga na kuondoka. Kwa nini nasema hivi?

Anavyozidi kupata majalada kuhusu hao anaowaita majipu na wao wanajipanga na majalada yao yanayomhusu yeye jipu. Sasa fikiria wakati anatafakari hatua ya kuchukua dhidi ya jipu moja anakutana uso kwa uso na jalada linalomtahadharisha kutomwaga ugali kwani na mboga nayo haitabaki salama. Je hapo atafanyeje? Lazima atasita!

Tatizo la Magufuli ni kwamba hashauriki, hakujipanga na hivyo hakujua adui atakayepambana naye kajipanga namna gani. Taratibu anaanza kuzinduka na kuelewa Waziri MKuu wa zamani, Kayanza Pinda, alikuwa na maana gani alipolalama kwamba mafisadi ndani ya taifa hili wana nguvu za kuweza kuiyumbisha nchi! Hata hivyo kachelewa!

Kikulacho ki nguoni mwako!
 
Kwa wale ambao wamejiunga na JF majuzi, napenda kuwafahamisha kuwa mambo ya Meremeta yalizimwa kwa staili hii hii...kwamba kampuni hiyo iliyoanzishwa kifisadi, kwa kuwa ulidaiwa ni mradi uliolihusisha JWTZ, mjadala ukafungwa.

Kwa ufahamisho zaidi ni kwamba kulikuwepo na wakati hata mambo ya CCM yalikuwa marufuku kujadiliwa na Bunge kwa sababu eti Chama ndicho kilishika hatamu na hata Bunge, pamoja na kuwakilisha wananchi wote, lilikuwa chombo cha CCM!

Kwa ufahamisho zaidi ni kwamba mali zote zilizokuwa mikononi mwa wananchi pamoja na mali zote zilizokuwa mikononi mwa serikali kwa niaba ya wananchi pamoja na vyombo vyote vya dola, mmiliki mkuu kilikuwa ni Chama cha Mapinduzi!

Adui mkubwa wa taifa hili ni CCM...!
nashangaa watu hawalitambui hili
 
Niliwahi kutoa ombi kwa Magufuli kwanza akiri na kuwaomba radhi Watanzania kwa ushiriki wake na chama chake katika mfumo uliozaa mazingaombwe yote haya na kuwaomba Watanzania wamuunge mkono. Watu hawakunielewa na sasa kwa vyovyote vile amechelewa kwani meli tayari limeng'oa nanga na kuondoka. Kwa nini nasema hivi?

Anavyozidi kupata majalada kuhusu hao anaowaita majipu na wao wanajipanga na majalada yao yanayomhusu yeye jipu. Sasa fikiria wakati anatafakari hatua ya kuchukua dhidi ya jipu moja anakutana uso kwa uso na jalada linalomtahadharisha kutomwaga ugali kwani na mboga nayo haitabaki salama. Je hapo atafanyeje? Lazima atasita!

Tatizo la Magufuli ni kwamba hashauriki, hakujipanga na hivyo hakujua adui atakayepambana naye kajipanga namna gani. Taratibu anaanza kuzinduka na kuelewa Waziri MKuu wa zamani, Kayanza Pinda, alikuwa na maana gani alipolalama kwamba mafisadi ndani ya taifa hili wana nguvu za kuweza kuiyumbisha nchi! Hata hivyo kachelewa!

Kikulacho ki nguoni mwako!
Ahsante ahsante mkuu, naomba wanajamvi wapitie BANDIKO# 83 uzi huu Duru za Siasa: Awamu ya 5 - Uongozi na Yanayojiri... na mwenye nafasi apitie mabandiko haya #54 #73, #74

Tilimwambia yote mapema sana kabla hata hajakaa kitini.
 
nashangaa watu hawalitambui hili
Magufuli ni zao la CCM. Amekuwepo serikalini toka wakati wa IPTL, Kiwira, EPA, Kagoda, Meremeta, Tangold, Richmond, Dowans, Twiga, Meno ya Tembo, Reli (mabehewa), Madawa ya Kulevya, ESCROW, Tokomeza, Simba Trust, Bandari (container), Bandari (mafuta), Daraja la Kigamboni, TRA, Muhimbili, NSSF, Meli ya Samaki, Tanroads, Nyumba za serikali, Kivuko cha Bagamoyo, Lugumi Enterprises n.k....Masikini Tanzania shamba la bibi! Wote waliohusika na hizi kashfa zote ni viongozi wa CCM na serikali yake halafu tunaitegemea CCM hiyo hiyo kutuokoa! Nani katuloga?
 
Hizi habari za ufisadi sijui tuzifananishe na movie za series au isidingo maana haziishi kila siku zinaongezeka.
 
Magufuli ni zao la CCM. Amekuwepo serikalini toka wakati wa IPTL, Kiwira, EPA, Kagoda, Meremeta, Tangold, Richmond, Dowans, Twiga, Meno ya Tembo, Reli (mabehewa), Madawa ya Kulevya, ESCROW, Tokomeza, Simba Trust, Bandari (container), Bandari (mafuta), Daraja la Kigamboni, TRA, Muhimbili, NSSF, Meli ya Samaki, Tanroads, Nyumba za serikali, Kivuko cha Bagamoyo, Lugumi Enterprises n.k....Masikini Tanzania shamba la bibi! Wote waliohusika na hizi kashfa zote ni viongozi wa CCM na serikali yake halafu tunaitegemea CCM hiyo hiyo kutuokoa! Nani katuloga?
Walisema atafanya mabadiliko, tukawaeleza wamekulia katika utamaduni huu na kuzungukwa na magwiji itawezekanaje?

Wakati anahangaika na vitanda, wabunge wake wapo bize na tuhuma za milungula

Ukitaka kuona utamaduni wa kulindana ulivyo mkubwa, tuhuma za wabunge kuchukua rushwa, Spika anasimama na kusema ni mabadiliko ya kawaida.

Rushwa inaitwa mabadiliko tya kawaida!. Pengine alitaka kusema ni mambo ya kawaida
Hakukiri rushwa kwasababu alitaka kuwalinda watuhumiwa

Aliongoza kikao cha siku 2 kujadili hotuba ya Rais na jinsi gani bunge linaweza kuunga mkono jitihada. Nyuma ya pazia wana yao, wana mng'ong'a

Leo tunajua tuhuma zilikuwa kweli na wahusika wapo mbele ya baba hakimu.
Ilikuwaje Spika akaficha hata ukweli usiohitaji kificho? Kusema tuhuma ni neon zito sana mdomoni, ole wao lingekuwa la wapinzani

Spika akaruhusu askari waingie bungeni, anashindwa kutamka 'tuhuma za rushwa'

Ndio haya ya Lugumi, ubabaishaji tuu unaendelea. Mkataba upo wizarani mara upo Polisi. Kuutoa inachukua siku 5 na haujulikani kama umetoka. Tunaambiwa twende na kasi

Kwa hili la Lugumi lina define Tanzania, waliokuwa hawaoni hawajui waweke wapi sura z

Wametetea kwa kila utetezi, la kuvunda halina ubani. Uvundo unafukuta na kuzizima

Tunaishi leo kwa mbinu za jana. Tunaishi leo ya jana!

Taratibu wanaelewa
 
Magufuli Akisha Shindwa Umu JF,Anguko Linalo Fuatia ni Lile la Mtaani...Na Siku Hizo Haziko Mbali
 
Magufuli ni zao la CCM. Amekuwepo serikalini toka wakati wa IPTL, Kiwira, EPA, Kagoda, Meremeta, Tangold, Richmond, Dowans, Twiga, Meno ya Tembo, Reli (mabehewa), Madawa ya Kulevya, ESCROW, Tokomeza, Simba Trust, Bandari (container), Bandari (mafuta), Daraja la Kigamboni, TRA, Muhimbili, NSSF, Meli ya Samaki, Tanroads, Nyumba za serikali, Kivuko cha Bagamoyo, Lugumi Enterprises n.k....Masikini Tanzania shamba la bibi! Wote waliohusika na hizi kashfa zote ni viongozi wa CCM na serikali yake halafu tunaitegemea CCM hiyo hiyo kutuokoa! Nani katuloga?

Halafu kuna watu wanadhani CCM ya sasa ina tofauti na ya jana

Noooooooooooooooooo

Ni suala la Muda tu

Mwaka 2018 Lugha ya Jukwaani humu itabadilika

CCM is very predictable.......Wanachofanya sasahivi ni kudeal na vidagaa walioko serikalini

Real thieves ni hao Viongozi wakubwa wa hichi Chama...na llies wao.......
 
Back
Top Bottom