Haaahahahahaaaa!!! Kweli mkuu ni ISIDINGO tht need haishi ila kila siku visa vinaongezekaHizi habari za ufisadi sijui tuzifananishe na movie za series au isidingo maana haziishi kila siku zinaongezeka.
CCM ni ile ile ambayo Rais anapambana na rushwa wao wapo bize bize na tuhuma za Rushwa. You can imagine mbunge anachukua rushwa! Utaweza kudhani ni jambo geni kabisa, no ! Wameona katibu mkuu wa wizara ya nishati akigawa rushwa kwa macho yao chini ya maagizo ya mwenyekiti wa CCM na alipoambiwa akasema 'yatapita kama upepo''Halafu kuna watu wanadhani CCM ya sasa ina tofauti na ya jana
Noooooooooooooooooo
Ni suala la Muda tu
Mwaka 2018 Lugha ya Jukwaani humu itabadilika
CCM is very predictable.......Wanachofanya sasahivi ni kudeal na vidagaa walioko serikalini
Real thieves ni hao Viongozi wakubwa wa hichi Chama...na llies wao.......
Kweli wewe ni bwege!!Washamba au walililelewa kwenye familia yenye maadili mema na mazuri acha ujuha.Unaona ufahari kuwa FISADI? kweli Tanznaia yangu imevamiwa na viwavi.wale watoto wa nyerere walikuwa " WASHAMBA "
Tuwe na subira. Hapana chezea serikali ya Magufuli
Pia Adadi huyu dadake kaolewa na Saidi Mwema, mtoto wa Saidi Mwema kaolewa na Lugumi, mke wa Lugumi anamuita Adadi Mjojomba, hapa hoja kuwa Adada atafanya upendeleo kwa Lugumi ni kubwa sana.Anayo hoja, nwaka huo 2011 mkataba ukiwa unaandikwa jee Adadi alikuwa kesha staafu u DCI?
Ikiwa hakuna aliye wai kuona mkataba huo utata na ufisadi umetokea wapi?
Pia Adadi huyu dadake kaolewa na Saidi Mwema, mtoto wa Saidi Mwema kaolewa na Lugumi, mke wa Lugumi anamuita Adadi Mjojomba, hapa hoja kuwa Adada atafanya upendeleo kwa Lugumi ni kubwa sana.
pole mkuu .Kweli wewe ni bwege!!Washamba au walililelewa kwenye familia yenye maadili mema na mazuri acha ujuha.Unaona ufahari kuwa FISADI? kweli Tanznaia yangu imevamiwa na viwavi.
...hakika, CCM ni ile ile,hakuna tena kuwapa muda wala nini, the whole party is bullshit!, halafu wakiitwa mabwege wanapeleka watu mahakamani,pumbaf!Ahsante ahsante mkuu, naomba wanajamvi wapitie BANDIKO# 83 uzi huu Duru za Siasa: Awamu ya 5 - Uongozi na Yanayojiri... na mwenye nafasi apitie mabandiko haya #54 #73, #74
Tilimwambia yote mapema sana kabla hata hajakaa kitini.