Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
Afrika hatufanyi vitu kwa mikataba. Mo Dewji, bilionea la kimataifa, tena dollar bilionea, limesoma Marekani lakini kaingia mahusiano ya kulipa mishahara ya taasisi ambayo haijulikani analipa kama nani, hana mkataba nayo!
Nilidhani MO Dewji ni msomi mwenye ma exposure ambayo viongozi wa mipira wa Kiswahili hawana.
"I put blood for the club."
What do you mean you put blood for the club, umemwaga damu kwa ajili ya timu au umechangia damu wachezaji majeruhi?
Nilidhani MO Dewji ni msomi mwenye ma exposure ambayo viongozi wa mipira wa Kiswahili hawana.
"I put blood for the club."
What do you mean you put blood for the club, umemwaga damu kwa ajili ya timu au umechangia damu wachezaji majeruhi?