Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
WAKUU habarini za jion
Naangalia itv hapa naona habari njema
MH RAISI WA Kenya ameomba wakenya kuwa watulivu kwani sasa ameomba wapinzani kukaa pamoja kuunda serikali ya UMOJA
Amesema hii nchi ya wakenya wotee na hakuna alie na HATI milki PEKEE
Baba naona umerudi na nguvu mpya Ethiopia BAADA ya kufeli zoezi la kumiliki AU
Baba RAILA nasikilizia list yakoo najua ujawahi KUSHINDWA hahahaa RUTTO alisema hakuna mambo ya mkate
Leo kala maneno yake mwenyewe kazi kwelikweli SIASA hizi
Naangalia itv hapa naona habari njema
MH RAISI WA Kenya ameomba wakenya kuwa watulivu kwani sasa ameomba wapinzani kukaa pamoja kuunda serikali ya UMOJA
Amesema hii nchi ya wakenya wotee na hakuna alie na HATI milki PEKEE
Baba naona umerudi na nguvu mpya Ethiopia BAADA ya kufeli zoezi la kumiliki AU
Baba RAILA nasikilizia list yakoo najua ujawahi KUSHINDWA hahahaa RUTTO alisema hakuna mambo ya mkate
Leo kala maneno yake mwenyewe kazi kwelikweli SIASA hizi