Ruto aoomba kukaa na upinzani kutengeneza serikali ya umoja

Ruto aoomba kukaa na upinzani kutengeneza serikali ya umoja

Mkate huoooo
 

Attachments

  • IMG_20250225_234702_832.jpg
    IMG_20250225_234702_832.jpg
    517.8 KB · Views: 1
WAKUU habarini za jion

Naangalia itv hapa naona habari njema

MH RAISI WA Kenya ameomba wakenya kuwa watulivu kwani sasa ameomba wapinzani kukaa pamoja kuunda serikali ya UMOJA

Amesema hii nchi ya wakenya wotee na hakuna alie na HATI milki PEKEE

Baba naona umerudi na nguvu mpya Ethiopia BAADA ya kufeli zoezi la kumiliki AU



Baba RAILA nasikilizia list yakoo najua ujawahi KUSHINDWA hahahaa RUTTO alisema hakuna mambo ya mkate

Leo kala maneno yake mwenyewe kazi kwelikweli SIASA hizi
Geresha zile zile za Vikosi kazi vya Mama.
Raila ni kama Lipumba anatkwa na system.ya kenya. Watakuja kushtuka too late kama ilivyotokea Chadema hapo juxi.
 
Machale yamemcheza baada ya raila kuangukia pua AU, ameona ni bora aunde serikali ya umoja wa kitafa kupunguza tension na pressure za kisiasa toka kwa kina raila na gachagua wasimsumbue
 
Back
Top Bottom