GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Benki ya DuniaImepokea kutoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Benki ya DuniaImepokea kutoka wapi?
Kati ya hizo 463b, 100 ni za wakubwa. Na nusu ya mkopo ni ya wenye nchi. UjingaWananchi wanaoishi bonde la Msimbazi waliokubwa na mafuriko wametoa maoni yao baada ya Rais Samia kutangaza wapewe fidia huku ya ardhi ikiwa milioni nne huku jumla wengine wakipata jumla ya milioni sita wakihoji wanaenda kufanyaje ili wapate kiwanja na nyumba huko wanapoenda.
Kijana mmoja amesema hawezi kuondoka kwake kwa fidia iliyotajwa huku mwingine akisema wameambiwa hakuna sheria inayomlazimisha Rais kulipa fidia bali ni huruma ya Rais.
Serikali ilipokea bilioni 463 kwa ajili ya mradi wa bonde la mto Msimbazi ikiwemo ujenzi wa daraja na kuboresha matumizi ya ardhi katika bonde hilo, nusu zikiwa msaada na nusu mkopo.
dah sasa fidia nyingine ya wapi tena.. na viwanja walishapewa wakauza.... haya wamepewa kwa huruma bado wanakuwa wakaidiHadi hawa Mkuu, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa naishi maeneo karibu na hapo na wengi wao waliyauza wakidai wanaishi mjini hawawezi kwenda maporini.
Tena walipewa na mabati na mifuko ya simenti.Hadi hawa Mkuu, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa naishi maeneo karibu na hapo na wengi wao waliyauza wakidai wanaishi mjini hawawezi kwenda maporini.
Wewe ni mpumbavu mmoja.Ataondolewa hata Kwa bakora. Alizaliwa na hiyo Ardhi?
Ndiyo hawa. Wakadai kule Mabwe ni shamba. Ajabu sasa hivi kule kumekuwa hot-cake.Hivi hawa si walipewa viwanja Mabwepande na Kikwete 2012 au sio hawa?
Nchi yake au nchi yetu?Wewe ni mpumbavu mmoja.
Mwananchi anaelimishwa na siyo kunyanyaswa ndani ya nchi yake
Hana hoja yoyote anapaswa kuchapwa viboko na mabanzi ya kutoshaAsikilizwe kama ana hoja.
Mpumbavu ni wewe hapo kima mkubwa.Wewe ni mpumbavu mmoja.
Mwananchi anaelimishwa na siyo kunyanyaswa ndani ya nchi yake
Wewe unaathirika nini asipohama? Yupo hapo kwa sababu viongozi wapuuzi wametumia madaraka yao kuwaweka hapo.Nchi yake au nchi yetu?
Kuhama kwake hapo ni kwa maslahi ya umma
Kaangalia hati zake za umiliki ndugu kimbwenelehi.Mpumbavu ni wewe hapo kima mkubwa.
Aelimishwe kitu gani hajui kwamba anaishi eneo lisiroruhusiwa? Toka awamu ya JK waliambiwa wahame wanagoma,waliopewa Hadi viwanja Mabwepande wakauza.
Eti Elimu,angekuwa Mwendazake hata jero asingewapa boya wewe.
Fredwash ona hapa, nakumbuka vizuri kabisa hili tukio.
We punguani kuwa na Hati haikusaidii kama umejenga eneo lisiroruhusiwa.Kaangalia hati zake za umiliki ndugu kimbwenelehi.
Mmezoea kuonea raia. Pale mtakaangwa
Nani kasema??Ardhi hiyo ni Mali ya Rais
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe upange chumba kwa huyo jamaa anaetaka bilion moja kila mwisho wa mwezi anakusubiri mlangoni kudai hela ya kodi au umeme hawanaga kazi ya kufanya.