Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Waelimishwe au wapewe taarifa?Wewe unaathirika nini asipohama? Yupo hapo kwa sababu viongozi wapuuzi wametumia madaraka yao kuwaweka hapo.
Wanastahili kuelimishwa kwanza kisha taratibu zingine kufuata.
Vumbapu kabisa
Taarifa imeshatoka kwamba wao ni wavamizi kwa hiyo hawakustahili fidia. Hata hicho wanachopewa ni huruma tu na wala siyo stahiki yao.
Hapo kinachotumika ni sheria.