Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Maoni ya Mkazi wa Arusha kuhusu mazingira ya Jiji hilo na kero nyingine mbalimbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dharau hizi,kumuomba raisDar es Salaam wameshazoea Uchafu na harufu za vinyesi, majalala na Shombo
Btw, Arusha ni chafu eneo lipi hasa na kwnn usilalamike kwny Manispaa ya jiji unataka msaada wa Rais?
Umenena vyema mkuuUsafi unaanzia na wewe
Huyu akifanya usafi,yule akifanya usafi,wakule akifanya usafi basi eneo lote linakuwa safi....wajapan ndiyo walifaulu kwenye usafi kwa style hiyo
Ova