Mke achoma vyeti vya mumewe kwa kutokujua kusoma.

Mke achoma vyeti vya mumewe kwa kutokujua kusoma.

Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
hapana,anaweza kutangaza kupotea kwa vyeti kwenye magazeti na anaenda kwenye hivyo vyuo na loss report na hilo tangazo anapewa nakala ya vyeti
 
Vyeti vyangu vya udsm avichome????? labda km nimesoma TEKU....

Nitamkanda siku hiyo mpaka aniambie Kwa Nini wasabato wanajiita wakristo wakati hawataki kula kitimoto.
 
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Hahahaha sina mbavu 🤣😂😅😆😁😄
 
Alafu wee utakuwa unawafagilia hawa wanawake wasomi...bro hao hatuoi...ni majanga tuuu. Bora hao wa form four failures lakini sio hawa wa degree zao sijui cpa. Nyodo kama zote
Ajui usalama wengi ndio huoa wanawake wasiowasomi ajiri ya confidential chukua hiyo
 
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Sio kweli, ukipoteza cheti, upo utaratibu wa kupata kingine
 
Sijui kama ni OG
ila nachojua unapata vyeti vingine, ambavyo vinatambuliwa na serikali na taasisi nyingine.
 
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Kinachomliza nini? Havipatikani tena au na yeye ni kama mkewe hajui anaweza kupata nakala?
 
It sounds like chai flani hv amazing.
 
Vyeti vyangu vya udsm avichome????? labda km nimesoma TEKU....

Nitamkanda siku hiyo mpaka aniambie Kwa Nini wasabato wanajiita wakristo wakati hawataki kula kitimoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona vyeti vyote vinapatikana tu kirahisi.

Safi, Mwanamke Usafi aisee.
 
Back
Top Bottom