kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Punguza chai ila ujumbe umeeleweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vinapatikana bhana, hata km sio kirahisi ila vinapatikana.Kaulize tena huko ulikoambiwa vyeti vinapatikana kirahisi hivyo.
Naam! Jamaa kaandika kwa kukurupuka...hakuDigest kwanza.Mtoa post hana akili , Kwa hiyo baada vyeti vya jamaa kuungua walimshusha cheo kitu ambach si sahihi
hapana,anaweza kutangaza kupotea kwa vyeti kwenye magazeti na anaenda kwenye hivyo vyuo na loss report na hilo tangazo anapewa nakala ya vyetiJamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Labda ni vyeti fake ndiyo maana hawezi fatilia huko vilikotoka ili kupata vyeti vingine!!Vyeti si vinapatikana tu atafute loss report aende chuo au Nacte anapata
Hahahaha sina mbavu 🤣😂😅😆😁😄Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Ajui usalama wengi ndio huoa wanawake wasiowasomi ajiri ya confidential chukua hiyoAlafu wee utakuwa unawafagilia hawa wanawake wasomi...bro hao hatuoi...ni majanga tuuu. Bora hao wa form four failures lakini sio hawa wa degree zao sijui cpa. Nyodo kama zote
Sio kweli, ukipoteza cheti, upo utaratibu wa kupata kingineJamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Huyo atakuwa alipata zero form four kwaiyo mke wake kachoma leaving certificateNapata faida gani kwamfano nikisema uongo?
Original Kama vile ulivyopewa awali ?Sio kweli, ukipoteza cheti, upo utaratibu wa kupata kingine
Kinachomliza nini? Havipatikani tena au na yeye ni kama mkewe hajui anaweza kupata nakala?Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Hapo utajiuliza tofauti yao nini, maana aliyesoma anafanya mambo kama asiyesoma!!Vyeti si vinapatikana tu atafute loss report aende chuo au Nacte anapata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vyeti vyangu vya udsm avichome????? labda km nimesoma TEKU....
Nitamkanda siku hiyo mpaka aniambie Kwa Nini wasabato wanajiita wakristo wakati hawataki kula kitimoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo atakuwa alipata zero form four kwaiyo mke wake kachoma leaving certificate