Mke aiba namba za siri za mumewe na kujitumia pesa kila mwezi na kujinunulia vocha kila siku. Nimemwambia amwache usiku huu huu

Sasa hiyo ni sababu ya kuacha mke kweli?
 
Unamnyanyasa mtu kisa elfu 40? Ndo maana tunapambana tupate pesa zetu, manake huwa mnatunyanyasa na vichenchi vyenu.
 
1,000 x 30 = 30,000/=
5,000 x 2 = 10,000/=
Jumla 40,000/= kwa mwezi.

Mshahuri kila mwezi awe anampa mke wake 50,000/= ya matumizi binafsi.

Huwezi muacha mtu kisa cha kingese ivo.
jamaa anaweza kuwa anatumia zaidi ya 50,000 kwenye kunywa BIAAAA
 
Mwanamke sio mwizi mwanaume hawajibiki kwa mkewe shida vocha na vipoketi money tujijengee tabia ya kuwapatia mahitaji madogo wenza wetu kadiri ya uwezo tulio nao

Akizidi hapo inakuwa hulka Binafsi nilitegemea jamaa ako ungesema huwa anampa vocha mkewe huwa anampa buku Tano za akiba umekuja kulalama kuwa ni mwizi tuuuu

Unataka akamuibie baba ake mzazi ameiba kwa mumewe

Kama mume kamind apige hesabu hizo anazokwapua awe anampa mkononi kiasi hicho ili ijulikane ni mwizi au mume hawajibiki
 
Anaweza kufanya usiku ukiwa unakoroma au bafuni unaoga. Meseji zinafutwa tu fasta mkuu.
 
yote hayo angeyaepuka kama asinge oa


KATAA NDOA
EPUKA VIBAKA
SAVE KIBUNDA
 
hilo ni suala la kuwekana sawa, ndugu kuna mambo mazito ndani ya familia yanayoumiza,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…