Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakushauri usishike simu yake daima na milele🤣🤣Leo mmeniamuliaaaaaaa! Lol
Kwahiyo mnanipa muda gani wa kurudi hapa?
Mpaka Aya zimeshushwa, nitajitahidi jamani!Tunakushauri usishike simu yake daima na milele🤣🤣
"Walaa tajasasu- msipekuane pekuane" ishi humo.
Kivuruge mie nasemaga ukweli🤣🤣🤣 Mpenzi wa Mungu Mie🤣Nifah soma hii..amejimaliza balaa.kajitungua huyoo😀😀😀kivuruge wangu on the one n two🎤
Usimtishe mwari wangu🤣🤣🤣hakuna cha mudq..ukute mke mwenzio.yumo humuhumu na wameshibana balaa😎
Kwakweli hii mambo ya kumpenda mtu hadi unajisahau kujipenda sio poa
Ndoa yako changa endelea kufurahia utamu wa ndoa......ndoa zote zilianzia huko, Ila hii Leo wengine wapo mahakamani.....imagine kutoka mahabani hadi mahakamani...
Ila ushauri wangu usimpende mtoto wa mwenzio ukajisahau nafsi yako.....hawa wanaume wanatofautiana majina tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😆😆😆😆😆😆🎤🎤Kivuruge mie nasemaga ukweli🤣🤣🤣 Mpenzi wa Mungu Mie🤣
Hivi fikiria shosti, kudanga na kujiua Bora nini? Imagine unajiua dhambi ambayo hata viongozi wa dini wanagoma kukuzika, huku nyuma unaacha wanao wanateseka, Si bora uwe na tubebi twako twa akiba kinaact Kama shock absorber.....utatubu ukizeeka.🤣🤣🤣
Tunakushauri usishike simu yake daima na milele[emoji1787][emoji1787]
"Walaa tajasasu- msipekuane pekuane" ishi humo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]R.i.P Classmate....[emoji26]
Kwa jibu hili maana yake utashika tu, japo hutashika sana kama ambavyo ulipanga awali. LolMpaka Aya zimeshushwa, nitajitahidi jamani!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kukuta message tu mtu unajiua ukimfuma laivu utafwariki. Mimi nilimkuta live na si kufanya chochote, nikasepa zangu tu. Yaani maisha yalivyo matamu nijiue kwa ajili ya mtoto wa mama mkwe loh. Dunia bado inanihitaji.Mungu wangu! Moyo umenipasuka nikivaa viatu vya mwenzangu! Kafariki kwa uchungu sana! Dah
Ndio maana tunaambiwa usimpende mtu kuliko unavyoipenda nafsi yakoHatari sana.
Mke alimpenda sana bwana wake
ana siku nyingine yakujiuliza ?[emoji23]Siku nyingine Akome kupekuwa simu ya mwanaume