OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Habari wakuu,
Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta ugomvi na linatishia uhai wa ndoa au mahusiano yako,
Tumeambiwa Tuishi nao kwa akili,
Njia nzuri ya kumfanya akusamehe na asahau ni kutumia mbinu ya kuishitua akili yake ghafla, unaihamisha kutoka kwenye ugomvi kwenda kwenye jambo lingine kama jinsi ambavyo treni hubadiri njia stesheni na wewe utabadili akili yake hivyo hivyo.
Mfano Kakufumania nyumbani kwako na anatishia kuondoka, nenda mbali kidogo na nyumbani kusanya watu watatu au wanne wapange kuhusu tukio unalolipanga, mfano AJALI ya boda boda, mpe simu au namba za mkeo mtu mmoja kisha ampigie simu mkeo ampe taarifa kuwa Umepata ajali ya boda boda (umegongwa na boda boda) hujitambui na umepoteza fahamu wametoa laini kwenye simu yako ndio wamekuta jina lake wakaona wampigie.
Baada ya hapo akianza kuja eneo la tukio hakikisha nguo zako zinavumbi zinaonyesha ulikuwa chini na ikibidi zipake damu ya mbuzi au ngo'mbe.
Akifika hapo akukute ulishazinduka jifanye unaugulia maumivu, kisha mtu mmoja ajifanye shuhuda aanze kuelesea tukio lilivokua na asisitize ulikuwa unaonekana mtu mwenye mawazo sana.
Baada ya hapo nendeni wote nyumbani mkapumzike.
Ongezea mbinu nyingine, zinaweza kukusaidia siku moja
Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta ugomvi na linatishia uhai wa ndoa au mahusiano yako,
Tumeambiwa Tuishi nao kwa akili,
Njia nzuri ya kumfanya akusamehe na asahau ni kutumia mbinu ya kuishitua akili yake ghafla, unaihamisha kutoka kwenye ugomvi kwenda kwenye jambo lingine kama jinsi ambavyo treni hubadiri njia stesheni na wewe utabadili akili yake hivyo hivyo.
Mfano Kakufumania nyumbani kwako na anatishia kuondoka, nenda mbali kidogo na nyumbani kusanya watu watatu au wanne wapange kuhusu tukio unalolipanga, mfano AJALI ya boda boda, mpe simu au namba za mkeo mtu mmoja kisha ampigie simu mkeo ampe taarifa kuwa Umepata ajali ya boda boda (umegongwa na boda boda) hujitambui na umepoteza fahamu wametoa laini kwenye simu yako ndio wamekuta jina lake wakaona wampigie.
Baada ya hapo akianza kuja eneo la tukio hakikisha nguo zako zinavumbi zinaonyesha ulikuwa chini na ikibidi zipake damu ya mbuzi au ngo'mbe.
Akifika hapo akukute ulishazinduka jifanye unaugulia maumivu, kisha mtu mmoja ajifanye shuhuda aanze kuelesea tukio lilivokua na asisitize ulikuwa unaonekana mtu mwenye mawazo sana.
Baada ya hapo nendeni wote nyumbani mkapumzike.
Ongezea mbinu nyingine, zinaweza kukusaidia siku moja