Mke akikufumania fanya yafuatayo ili akusamehe

Mke akikufumania fanya yafuatayo ili akusamehe

Mbinu nyingine ni kujiua kabisa.

Fanyeni hivyo mtakuja nishukuru. naongea kitu ambacho nilishafanya.
 
Huwa na play kwa uangalifu wa hali ya juu sana nisikamatwe

Ila linapokuja swala la kukamatwa sijawahi kukubali shitaka, Nitamueleza kwa utaratibu asiponielewa akazidi ukali basi simjibu chochote hadi pale hasira zake zikimuisha hapo nitahakikisha najifanyisha vikazi kazi vya hapo nyumbani kama kumsaidia kumuogesha mtoto (hata kuosha vyombo pia), nikienda kazi na wahi kurudi nyumbani na vijizawadi zawadi hapo basi ana sahau kila kitu na Maisha yanaendelea..
 
umenikumbusha braza mmoja (rip),yeye alilala kwa mchepuko baada ya kulewa, kazinduka saa mbili kesho yake jumapili,alichofanya alienda polisi akazungumza na jamaa kituoni,wakampigia simu mkewe kuwa alikamatwa tangu jana yake usiku,wakampa simu aongee na mumewe,jamaa hakuwa na maneno mengi alimuagiza mkewe aje na 20000 za kuwapooza jamaa ili wamtoe,mkewe alivyokaribia kituoni jamaa kaingizwq lock up chap, mke kufika alibembeleza na machozi juu,jamaa akatolewa kwa mkwara na kibao cha mgongoni,mke ilibidi akanunue supu
Hii imekaa njema, jamaa alitumia akili Sana na ndo mliagizwa akili za hivi sio ubabe
 
Habari wakuu,

Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta ugomvi na linatishia uhai wa ndoa au mahusiano yako,

Tumeambiwa Tuishi nao kwa akili,

Njia nzuri ya kumfanya akusamehe na asahau ni kutumia mbinu ya kuishitua akili yake ghafla, unaihamisha kutoka kwenye ugomvi kwenda kwenye jambo lingine kama jinsi ambavyo treni hubadiri njia stesheni na wewe utabadili akili yake hivyo hivyo.

Mfano Kakufumania nyumbani kwako na anatishia kuondoka, nenda mbali kidogo na nyumbani kusanya watu watatu au wanne wapange kuhusu tukio unalolipanga, mfano AJALI ya boda boda, mpe simu au namba za mkeo mtu mmoja kisha ampigie simu mkeo ampe taarifa kuwa Umepata ajali ya boda boda (umegongwa na boda boda) hujitambui na umepoteza fahamu wametoa laini kwenye simu yako ndio wamekuta jina lake wakaona wampigie.

Baada ya hapo akianza kuja eneo la tukio hakikisha nguo zako zinavumbi zinaonyesha ulikuwa chini na ikibidi zipake damu ya mbuzi au ngo'mbe.

Akifika hapo akukute ulishazinduka jifanye unaugulia maumivu, kisha mtu mmoja ajifanye shuhuda aanze kuelesea tukio lilivokua na asisitize ulikuwa unaonekana mtu mwenye mawazo sana.

Baada ya hapo nendeni wote nyumbani mkapumzike.

Ongezea mbinu nyingine, zinaweza kukusaidia siku moja​
Hakikisha unamrubuni mpaka ule papucha ndio utakuwa umemaliza kesi yote kabisa
 
Habari wakuu,

Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta ugomvi na linatishia uhai wa ndoa au mahusiano yako,

Tumeambiwa Tuishi nao kwa akili,

Njia nzuri ya kumfanya akusamehe na asahau ni kutumia mbinu ya kuishitua akili yake ghafla, unaihamisha kutoka kwenye ugomvi kwenda kwenye jambo lingine kama jinsi ambavyo treni hubadiri njia stesheni na wewe utabadili akili yake hivyo hivyo.

Mfano Kakufumania nyumbani kwako na anatishia kuondoka, nenda mbali kidogo na nyumbani kusanya watu watatu au wanne wapange kuhusu tukio unalolipanga, mfano AJALI ya boda boda, mpe simu au namba za mkeo mtu mmoja kisha ampigie simu mkeo ampe taarifa kuwa Umepata ajali ya boda boda (umegongwa na boda boda) hujitambui na umepoteza fahamu wametoa laini kwenye simu yako ndio wamekuta jina lake wakaona wampigie.

Baada ya hapo akianza kuja eneo la tukio hakikisha nguo zako zinavumbi zinaonyesha ulikuwa chini na ikibidi zipake damu ya mbuzi au ngo'mbe.

Akifika hapo akukute ulishazinduka jifanye unaugulia maumivu, kisha mtu mmoja ajifanye shuhuda aanze kuelesea tukio lilivokua na asisitize ulikuwa unaonekana mtu mwenye mawazo sana.

Baada ya hapo nendeni wote nyumbani mkapumzike.

Ongezea mbinu nyingine, zinaweza kukusaidia siku moja​
Sawa
 
Back
Top Bottom