Mke akikufumania fanya yafuatayo ili akusamehe

Mbinu nyingine ni kujiua kabisa.

Fanyeni hivyo mtakuja nishukuru. naongea kitu ambacho nilishafanya.
 
Mimi kanifumania msg nimetongoza beki tatu wa jirani dah hatari nilikua niko pombe sana
 
Huwa na play kwa uangalifu wa hali ya juu sana nisikamatwe

Ila linapokuja swala la kukamatwa sijawahi kukubali shitaka, Nitamueleza kwa utaratibu asiponielewa akazidi ukali basi simjibu chochote hadi pale hasira zake zikimuisha hapo nitahakikisha najifanyisha vikazi kazi vya hapo nyumbani kama kumsaidia kumuogesha mtoto (hata kuosha vyombo pia), nikienda kazi na wahi kurudi nyumbani na vijizawadi zawadi hapo basi ana sahau kila kitu na Maisha yanaendelea..
 
Hii imekaa njema, jamaa alitumia akili Sana na ndo mliagizwa akili za hivi sio ubabe
 
Hakikisha unamrubuni mpaka ule papucha ndio utakuwa umemaliza kesi yote kabisa
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…