Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

IKAFIKA KIPINDI
Akawa anakuja dukan anakaa chini na mtoto mgongoni kibarazani analia anaomba msamaha sn nimsamehe sn kwa yote aliyonikosea. Anaahidi atajirekebisha Ni shetani alimpitia.simjibu chochote akichoka kuomba msamaha anaondoka zake.

Kuna siku kashinda dukan asbh mpk saa 11 jioni na mtoto mgongoni anabembeleza. Mpk nafunga anabembeleza anabubujikwa na machozi, nilivofunga nikaenda nyumbani. Usiku kaja, kakuta geti halijafungwa kasukuma kaingia ndani na kwenda dirishan kwangu chumban analia anabembeleza nimsamehe. Nikamkaushia.

Kaenda Hadi dirisha la bi.mkubwa analia kakosa anaomba asamehewe.
Bi mkubwa nae akakausha Ila alivoondoka nikashangaa na asivompenda huruma ikamuingia nae akawa ananisihi nimsamehe turudiane. Nikamwambia bi.mkubwa achana nae uyo,hafai.

Tumeenda ukimya juu ya ukimya,
Wife akadili na mzee, kumbe akawa Anaenda kuomba msamaha ofsin kwa mzee. Mzee alipoona imekua kero akaniita na kunambia uyu mwanamke kila Mara anakwenda ofsn kwake kumuomba msamaha na anadai shangaz zake ndo waliomponza anajutia kilichotokea. Naonaje suala la kumsamehe. Nikasema mzee Mimi simtaki tena. Mzee akasema sawa Kama nmeamua hivyo. Ikaisha.

Baada ya miez 3 tangu Lile vurugu. naendelea na shughuli zangu nishaanza msahau wife, mzee akanambia jumapili tutakua na kikao Cha familia saa 10 mchana usichelewe kurudi uwepo. Nikasema sawa. Nikajua yatakua mambo ya familia yetu tu. Kweli Nmefika nyumbani mapema.

Gafla Niko chumban bi mkubwa kaja nigongea kua MDA tayar nije seblen.
Ile Natoka nafika seblen,nawaona wale shangazi zake wameketi, ikanibidi kurudi zangu chumbani na kukaa kitandani nikajiinamia kwa uchungu. Ikawa Kama wamenitonesha upya kile kidonda .

Mzee kaja kaniinua na kunambia twende seblen kila kitu kitakua sawa.
Kweli nmeinuka kinyonge nmeenda seblen nmekaa na mzee kochi Moja kubwa la Watu watatu.

Gafla shangaz Yao mmoja aliekua na mdomo akaja niangukia chonde chonde nimsamehe kwa yaliyopita.
Mzee akaniangalia usoni, nikaona mzee kama anatuma ujumbe kua anajiskia viby jins mmama yule mtu mzima anavolia. Wale wengine wakawa wanasema samahani yaishe yaishe. Babamkwe nae akasema imefkia mahali wife mpk anataka kujiua nyumbani kwao, alishameza hadi vidonge Mara mbili kajifungia chumbani anataka kujiua yye na mtoto. Wakavunja mlango kumnusuru.

Kama familia wanaomba radhi, wametukosea Sana, wanaomba radhi Sana. Anawasiwasi wanakoelekea atampoteza binti Yake na mjukuu wake, binti yake anazurula kila siku mjini na mtoto mgongoni anasema anaaga kaja kuomba msamaha na hasamehewi na kichwa chake kishachanganyikiwa sahv kilivyo tusije kushangaa kagongwa na Gari yeye na mtoto wote wamefariki. Mzee kaniangalia usoni.

Sijakaa sawa, kumbe wife alijificha jikoni nae kaja analia Hadi kamasi macho yamevimba na mtoto wake mgongoni kaniinamia anaomba msamaha. Mzee kaniangalia Tena usoni Tena na kunipa ishara ya nimsamehe. Nikatikisa kichwa kukubali.

Mzee kamuinua wife na kumkalisha kushoto kwake, Mimi kulia kwake.
Akasema kua Hawa wote Ni wanangu. Nyie wote nendeni kila kitu kitakua sawa. Basi wageni wale wakatawanyika.

Tukabaki familia yetu, wife na mtt. nikawa ndani ya siku 2 simuongeleshi.
Bi mkubwa akanisihi yaishe niongee na mzazi mwenzangu, mzee nae akanisihi yaishe bhana. Basi siku ya 3 wife kaja chumbn kwangu kavaa kimitego analia anaomba msamaha.
Kwasababu moyoni nishamsamhe na nilivommiss siku nyng sijapiga show.
Basi ugomvi wetu ukaishia pale.

Baada ya wiki pale home,
Mzee akatutaftia nyumba nyingine kubwa zaidi na kutupangishia kua tukakae uko pale kwa wapangaji tuhame. Alivotupeleka kule tunakutana na vile vitu vyetu tulivosomba na canter vipo vimerundikwa TU sebleni. Wife akaanza kuvipanga upya na maisha yakarejea Kama zamani.

TANGU HAPO miaka mingi imepita na WIFE HAJAWAI TENA KUTAMKA KAULI ILE YA TUGAWANE MALI.

Na pia,
Tangu ugomvi huo alirudi kua mama wa nyumbani na Hadi leo hii nnapoleta Uzi huu hajawai tena kuuza duka langu lolote.

Pia,
Nilikata mguu kabisa na magomeni kule kwa mashangazi waswahili wale.
Japo wanadai ugomvi ulishaisha ila nmekua karibu na ndugu wa wife kule upande wa mama ake na upande wa baba ake, Maelewano mazur Nmebaki na baba mkwe wangu TU. wengine ni salamu TU,kila mtu kivyake.

Nihitimishe kwamba
kile kipind kilipita na kilikua Cha mafunzo sn kwetu kutukomaza na Siwez kumhukumu sn wife maana umri wake ulkua bado mdogo sn, afu mazingira ya uswahili alikokulia kwa mashangazi wale yalimharibu.
Nashkuru upande wa mama ake walinisaidia sn kumshape wife akatulia akawa mcha mungu na MKE mzur Sana.[emoji1431]

Kwasasa
MKE wangu kiumri na kitabia amekua sana. Naweza kusema Ni MKE bora kabisa maishani, naeweza kukaa mbele ya Wanaume wenzangu waliooa nami nakajivunia kua Nmeoa mke bora kabisa na pure wife material mama wa watoto wangu[emoji4]

Na huwa nawaza Sijui ningekaza ningempoteza kipind kile sijui ingekuaje maisha yangu, maana kila nnakogusa Ni chenga tupu. Michepuko wote nilonao, vichwa maji tupu, mamaJ inclusive.

KINGINE,
Najivunia Sana baba mkwe wangu nilie nae, Ni mkwe asiyependa mambo ya kipuuzi kabisa na alisaisaidia Sana kumshape wife miaka 5 ya changamoto ya ndoa yangu.[emoji1431]

SIKU NIKITULIA NTASHUSHA TENA KISA kingine KILICHONIFANYA NIJIVUNIE HUYU BABA MKWE WANGU KATIKA KUMNYOOSHA WIFE WANGU[emoji4]

ASANTENI SANA WAKUU[emoji1431]
#######mwisho######

NB:
Kuna la kujifunza Hapa wakuu
Uzi huu nmeuleta baada ya kuguswa na Uzi wa mdau mmoja mwenye kisa Kama changu, ugomvi wa kibiashara na mkewe, Kisha mkewe akadai talaka wagawane Mali.

NAWASILISHA[emoji1431]
Naomba link ya huo Uzi uliokugusa
 
IKAFIKA KIPINDI
Akawa anakuja dukan anakaa chini na mtoto mgongoni kibarazani analia anaomba msamaha sn nimsamehe sn kwa yote aliyonikosea. Anaahidi atajirekebisha Ni shetani alimpitia.simjibu chochote akichoka kuomba msamaha anaondoka zake.

Kuna siku kashinda dukan asbh mpk saa 11 jioni na mtoto mgongoni anabembeleza. Mpk nafunga anabembeleza anabubujikwa na machozi, nilivofunga nikaenda nyumbani. Usiku kaja, kakuta geti halijafungwa kasukuma kaingia ndani na kwenda dirishan kwangu chumban analia anabembeleza nimsamehe. Nikamkaushia.

Kaenda Hadi dirisha la bi.mkubwa analia kakosa anaomba asamehewe.
Bi mkubwa nae akakausha Ila alivoondoka nikashangaa na asivompenda huruma ikamuingia nae akawa ananisihi nimsamehe turudiane. Nikamwambia bi.mkubwa achana nae uyo,hafai.

Tumeenda ukimya juu ya ukimya,
Wife akadili na mzee, kumbe akawa Anaenda kuomba msamaha ofsin kwa mzee. Mzee alipoona imekua kero akaniita na kunambia uyu mwanamke kila Mara anakwenda ofsn kwake kumuomba msamaha na anadai shangaz zake ndo waliomponza anajutia kilichotokea. Naonaje suala la kumsamehe. Nikasema mzee Mimi simtaki tena. Mzee akasema sawa Kama nmeamua hivyo. Ikaisha.

Baada ya miez 3 tangu Lile vurugu. naendelea na shughuli zangu nishaanza msahau wife, mzee akanambia jumapili tutakua na kikao Cha familia saa 10 mchana usichelewe kurudi uwepo. Nikasema sawa. Nikajua yatakua mambo ya familia yetu tu. Kweli Nmefika nyumbani mapema.

Gafla Niko chumban bi mkubwa kaja nigongea kua MDA tayar nije seblen.
Ile Natoka nafika seblen,nawaona wale shangazi zake wameketi, ikanibidi kurudi zangu chumbani na kukaa kitandani nikajiinamia kwa uchungu. Ikawa Kama wamenitonesha upya kile kidonda .

Mzee kaja kaniinua na kunambia twende seblen kila kitu kitakua sawa.
Kweli nmeinuka kinyonge nmeenda seblen nmekaa na mzee kochi Moja kubwa la Watu watatu.

Gafla shangaz Yao mmoja aliekua na mdomo akaja niangukia chonde chonde nimsamehe kwa yaliyopita.
Mzee akaniangalia usoni, nikaona mzee kama anatuma ujumbe kua anajiskia viby jins mmama yule mtu mzima anavolia. Wale wengine wakawa wanasema samahani yaishe yaishe. Babamkwe nae akasema imefkia mahali wife mpk anataka kujiua nyumbani kwao, alishameza hadi vidonge Mara mbili kajifungia chumbani anataka kujiua yye na mtoto. Wakavunja mlango kumnusuru.

Kama familia wanaomba radhi, wametukosea Sana, wanaomba radhi Sana. Anawasiwasi wanakoelekea atampoteza binti Yake na mjukuu wake, binti yake anazurula kila siku mjini na mtoto mgongoni anasema anaaga kaja kuomba msamaha na hasamehewi na kichwa chake kishachanganyikiwa sahv kilivyo tusije kushangaa kagongwa na Gari yeye na mtoto wote wamefariki. Mzee kaniangalia usoni.

Sijakaa sawa, kumbe wife alijificha jikoni nae kaja analia Hadi kamasi macho yamevimba na mtoto wake mgongoni kaniinamia anaomba msamaha. Mzee kaniangalia Tena usoni Tena na kunipa ishara ya nimsamehe. Nikatikisa kichwa kukubali.

Mzee kamuinua wife na kumkalisha kushoto kwake, Mimi kulia kwake.
Akasema kua Hawa wote Ni wanangu. Nyie wote nendeni kila kitu kitakua sawa. Basi wageni wale wakatawanyika.

Tukabaki familia yetu, wife na mtt. nikawa ndani ya siku 2 simuongeleshi.
Bi mkubwa akanisihi yaishe niongee na mzazi mwenzangu, mzee nae akanisihi yaishe bhana. Basi siku ya 3 wife kaja chumbn kwangu kavaa kimitego analia anaomba msamaha.
Kwasababu moyoni nishamsamhe na nilivommiss siku nyng sijapiga show.
Basi ugomvi wetu ukaishia pale.

Baada ya wiki pale home,
Mzee akatutaftia nyumba nyingine kubwa zaidi na kutupangishia kua tukakae uko pale kwa wapangaji tuhame. Alivotupeleka kule tunakutana na vile vitu vyetu tulivosomba na canter vipo vimerundikwa TU sebleni. Wife akaanza kuvipanga upya na maisha yakarejea Kama zamani.

TANGU HAPO miaka mingi imepita na WIFE HAJAWAI TENA KUTAMKA KAULI ILE YA TUGAWANE MALI.

Na pia,
Tangu ugomvi huo alirudi kua mama wa nyumbani na Hadi leo hii nnapoleta Uzi huu hajawai tena kuuza duka langu lolote.

Pia,
Nilikata mguu kabisa na magomeni kule kwa mashangazi waswahili wale.
Japo wanadai ugomvi ulishaisha ila nmekua karibu na ndugu wa wife kule upande wa mama ake na upande wa baba ake, Maelewano mazur Nmebaki na baba mkwe wangu TU. wengine ni salamu TU,kila mtu kivyake.

Nihitimishe kwamba
kile kipind kilipita na kilikua Cha mafunzo sn kwetu kutukomaza na Siwez kumhukumu sn wife maana umri wake ulkua bado mdogo sn, afu mazingira ya uswahili alikokulia kwa mashangazi wale yalimharibu.
Nashkuru upande wa mama ake walinisaidia sn kumshape wife akatulia akawa mcha mungu na MKE mzur Sana.[emoji1431]

Kwasasa
MKE wangu kiumri na kitabia amekua sana. Naweza kusema Ni MKE bora kabisa maishani, naeweza kukaa mbele ya Wanaume wenzangu waliooa nami nakajivunia kua Nmeoa mke bora kabisa na pure wife material mama wa watoto wangu[emoji4]

Na huwa nawaza Sijui ningekaza ningempoteza kipind kile sijui ingekuaje maisha yangu, maana kila nnakogusa Ni chenga tupu. Michepuko wote nilonao, vichwa maji tupu, mamaJ inclusive.

KINGINE,
Najivunia Sana baba mkwe wangu nilie nae, Ni mkwe asiyependa mambo ya kipuuzi kabisa na alisaisaidia Sana kumshape wife miaka 5 ya changamoto ya ndoa yangu.[emoji1431]

SIKU NIKITULIA NTASHUSHA TENA KISA kingine KILICHONIFANYA NIJIVUNIE HUYU BABA MKWE WANGU KATIKA KUMNYOOSHA WIFE WANGU[emoji4]

ASANTENI SANA WAKUU[emoji1431]
#######mwisho######

NB:
Kuna la kujifunza Hapa wakuu
Uzi huu nmeuleta baada ya kuguswa na Uzi wa mdau mmoja mwenye kisa Kama changu, ugomvi wa kibiashara na mkewe, Kisha mkewe akadai talaka wagawane Mali.

NAWASILISHA[emoji1431]
Hapo kuna vitu vingi sana vya kujifunza especially kwa hivi viumbe vnavyoitwa Wanawae
Ila DeepPond
Umesema alikuja na mtoto wake na Sio mtoto wenu G😀😀😀
 
Bila Hekima na Busara katika ndoa hatutoboi. Kila siku tusali..tuombe hekima kwa muumba. Ikiwezekana na funga na sadaka..kuitafuta hekima. We need Heavenly wisdom.
Maneno mazur yenye roho wa mungu yaliyojawa hekima na busara sana.
Mungu akupe maisha marefu sana Juandeglo[emoji4][emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washenzi sana hawa jamaa na huwezi amini ni wa makanisa ya kilokole kabisaaa na mapepo wanatoa na mpaka dk hii ameona bora nyumba ya mdogo wake ife ili kuficha aibu[emoji2959][emoji2959] nimemuhurumia sana huyu mwenza ila ukiangalia mbele kidogo linaweza kutokea la kutokea kukawa hakuna pakugusa kwa sababu ya mahusiano mabovu hivyo tunaachana kama meli inazama taratiiiibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa iman zao ndo maana sijawai kuziamini kabisa, zimekaa kimchongo mchongo Sana. PATHETIC[emoji3525]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Mimi wangu alikuwa na hiyo tabia ugomvi kidogo tuachane na tugawane mali, ili kuepusha kelele na ujuaji mwingi toka hapo sijawahi mshirikisha kitu tena, nimenunua ardhi sana na kuna kiasi kizuri sana benki hajui na nilishaapa na kuweka nadhiri kuwa hatajua kitu chochote zaidi ya vile alivyokuwa ananiimbia wimbo tugawane, yeye siku pekee ambayo anakuja kujua ni siku ambayo mm nimetangulia mbele ya haki/kufa ndo hapo atapojua maana nategemea kuandika wosia alafu yeye hataridhi kitu toka kwangu zaidi ya vile alivyokuwa ananiimbia wimbo.
Daaahhhh
 
Washenzi sana hawa jamaa na huwezi amini ni wa makanisa ya kilokole kabisaaa na mapepo wanatoa na mpaka dk hii ameona bora nyumba ya mdogo wake ife ili kuficha aibu[emoji2959][emoji2959] nimemuhurumia sana huyu mwenza ila ukiangalia mbele kidogo linaweza kutokea la kutokea kukawa hakuna pakugusa kwa sababu ya mahusiano mabovu hivyo tunaachana kama meli inazama taratiiiibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwenzo wako muache anyooke Kwanza, asipokaa sawa Itakua shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But mi sijaona ambacho umemkomoa. Ni vile tu yeye hakuwa ameamua but kiuhalisia kama angekuwa ameamua angefaidi kwa wewe kumzilia hivyo vitu.
Kwa tulipokua tumefikia,
Hakukua na namna ambavyo angechukua vile vitu maana nilikwenda kuvibwaga ukweni (alikozaliwa).

Sasa presha ilikua kwa wazazi wake maana ni fedhea kwa familia nzima maana nilimjazia Watu Sana.

Otherwise Kama ningefanyia vichochoroni angejipa ujasiri litapita, nilichofanya nilimtangazia yeye na familia yake nzima.

KWA FAMILIA INAYOJIELEWA,
HAKUKUA NA NAMNA WANGEPOKEA VILE VITU KWNY MAZINGIRA YAO.

Maana kushusha mzigo wa fuso na canter kuumwaga kiwanjan, afu magomeni uswahilini mchana kweupe Ni aibu Kuna sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wanawake ni kama wamezaliwa na ujinga wa asili hivi

Ni nadra sana kumkuta mwanamke anawaza hata miaka 2 mbele.

Miaka 3 nyuma,wife kuna kipindi wakati naanza maisha nilisema nimshirikishe mke wangu kwenye mipango

Basi nikawa napiga deal mixer kazi kwa mwezi Nampa 700k mara M.1 sometimes 650k..

Hapo achana na budget ya emergency ambayo Kila mwezi nilikuwa naweka 250k.

Sasa siku nayopewa termination of contract najua kabisa emergency funds Nina km 5.8M huku kwingine najua nina kama 14M.

Nikajisemea hapa sitaki tena Ajira nitaendelea na mishe zangu, Sasa namwambia wife mkataba wangu umeisha hautaongezwa zilete zile hela tufanye mahesabu tujue tunaanza wapi..

Nashangaa mtu anatoa machozi, mimi moja kwa moja nikajua mke wangu kaumia kusikia Sina Kazi nikaanza kubembeleza mbona akiba tunayo na kazi zipo nyingi sana kwenye fani yangu!!Ni vile tu mi sina mpango wa kuajiriwa baada ya mda nikamwambia lete hela tufanye mahesabu akaenda kuchukua kama 650k kaweka kitandani,mi nikamwambia lete zote akasema ndo hizo zimebaki....

Kumbuka mi najua nina 20M. Kasoro hivi aisee hasira zilinipanda ghafla pumzi ikawa inakaba km nataka kupata presha hivi aiseeee pembeni kulikuwa na kastuli flani hivi napendaga kuwekea simu usiku nikiwa nalala, kuna roho iliniingia ya kikatili nilitamani nishike kistuli nimbamize nacho Cha kichwa bahati nzuri niligeuka kumuangalia sura yake na mke wangu ana sura ya kipole sanaaa na kamwili kake kalivyo kadogo plus mimi nishawahi kufanya mazoezi makali ya boxing nikisema nipige liver shot moja naweza hata kuua...

Nikatoka nikaenda kukaa sebuleni kwanza nawaza si ningemuumiza sana!!hivi presha ndo inashika vile!nilijiogopa sana kwakweli.Sijawahi kumpiga toka tumeanza mahusiano ila nikapata picha kwanini wanaume wanapigaga wake zao tena bora mwenye mkono wa kupiga makofi maana atakuwa anapiga kdg kdg,mimi niliwazA kumuumiza yaani ukimuona unasema eee huyu mwanaume kweli katili..nilijiogopa sana kwakweli.

Siku 3 sijui nifanye nini kusema popote naona aibu siwezi mwambia mama yangu siwezi kusema kwao siwezi mwambia rafiki yangu yaani nimekaa nalo moyoni natoka naenda kushinda Bar nikifika tu mlango wa nyumbani hasira zinawaka moto ,kazi sina akiba yangu ya mambo yangu ilikuwa ni 3.5M plus 650k tu Hela yote ndo wife kawapa ndugu zake wafungue biashara, nyingine kajenga choo Cha baba yake nyingine kanunua mavitu Yao ya kike.

Niliumia sana sanaaaaaa kilichokuwa kinaniuma ni mwanamke ambaye nimeoa aje anisaidie maisha ndo anakuja nishusha,mwanamke ninayemshirikisha kila kitu ndo anakuja kuwa adui yangu,nimemaliza mkataba na ndo hapo hapo napokea taarifa km hiyo.Sina mtu wa kumshirikisha kitu maana wakumshirikisha ndo huyo kazingua.

Mda wote nawaza ukatili tu sasa kimtu chenyewe hataukipiga kofi vzr kinazima.Nssf nilikuwa na 27M.pssf nilikuwa na 11M.Nikasema nianze kule kwanza.

Changamoto nilikuwa nayo kipindi kile ni nawezaje kukaa nae chini kupanga nae maisha mwanamke wa namna hii na je maisha nitapanga na nani? Nawezaje kumfungulia Biashara mwanamke wa namna hii??Nani nitaongea nae stress zangu za maisha?Nani atanifariji pale Mambo yakuwa yakienda mrama?Nani anayenionea huruma kama sio mke wangu?Kifupi alinitisha sana sababu niliamini nipo salama halafu nikagundua nahitaji kuwa makini maana sio kweli kwamba nipo salama.

Huyu mwanamke sijawahi kuprove kunisaliti na ana heshima kiasi chake nadhani hapo ndo alipoponea,mi nilikuwa willing kuvunja ndoa ila hivyo vitu viwili ndo deal breaker kwangu basi nikapata mafao nikaweka sehemu kazaa nikawa naingiza 3M. Per month Maisha yakarudi sawa.

Sijawahi kumwambia ila Nikampa adhabu kuu mbili sitakaa nikufungulie biashara,sitakaa na wewe kujadili maendeleo ya familia,tupige story tucheke tule tulale ila my next move itakuwa siri yangu siku zote...

Kiukweli hili jambo lilinifanye nisiwazingatie kabisa wanawake, Mungu aliposema tuishi nao kwa akili alijua kabisa hawa watu hajawapa akili ya utambuzi,Sasa km mwanaume nae huna akili basi familia inakosa mwenye akili...
Aseeehh ..pole mnooo!
Mdogo wangu anapewa na mmewe pesa almost mwezi mzima km 3m juzi kamuomba kampa 600k.... aseeehh nimemkunjaa sikujali ukubwa wake mmewe kaogopa kumpiga kanipigia simu ananiambia ntaua mimi dada(hua ananiita dada badala ya shemeji)nikaenda dar ghafla nimemzibua nimerudi niliko,na nimemuambia usimshirikishe chochote pesa weka benki
Wanawake tunafeli somewhere haswa hapo kutunza pesa za waume zetu
 
Hapo kuna vitu vingi sana vya kujifunza especially kwa hivi viumbe vnavyoitwa Wanawae
Ila DeepPond
Umesema alikuja na mtoto wake na Sio mtoto wenu G[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa Hali niliyokuepo,
Yule mtoto alikua Ni wake,
Maana Ni Kama nilisusa wote yy na mtt
Nisamehe Kama ntakua nmetumia kauli mbaya[emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tukio lako ni kama la bro. wangu mwanzoni nilishangaa ila badae nimekuja kuelewa

kwa ufupi bro na mke wake waliachana baada ya mke kumtuhumu bro kutoka nje.
mke akarudi kwao bro akagoma kumfata baada ya miezi 4 mke wake kaja na kenta 2 kubeba kila kitu

kilicho nishangaza ni bro kutoa hela ya kubeba mizigo yote na kukubali vyote kuchukuliwa

kwa hasira alienda vunja kibubu na kununua vitu vipya ndani ya siku 2, majirani wakampigia mkewe kumuuliza kama karudi maana wanaona vitu vinaingia

mke karudi kushuhudia na kuomba msamaha hadi leo n mwaka wa 5 hawako pamoja.

bro aligoma kumsamehe
Tuna tabia yakutingisha kiberiti kidogoo
 
Aseeehh ..pole mnooo!
Mdogo wangu anapewa na mmewe pesa almost mwezi mzima km 3m juzi kamuomba kampa 600k.... aseeehh nimemkunjaa sikujali ukubwa wake mmewe kaogopa kumpiga kanipigia simu ananiambia ntaua mimi dada(hua ananiita dada badala ya shemeji)nikaenda dar ghafla nimemzibua nimerudi niliko,na nimemuambia usimshirikishe chochote pesa weka benki
Wanawake tunafeli somewhere haswa hapo kutunza pesa za waume zetu
Sahii kabisa reymage
Mume anapokukabidhi pesa ya familia,
Ujue kakuamini Sn, Unapaswa kuiheshimu na usiifuje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna tabia yakutingisha kiberiti kidogoo
Hi tabia ya kutikisa kibiriti nadhan mnayo almost wanawake wote Kwny damu,

Ndo maana sometimes tunawapenda sana ila tukiwa na nyie tunajifanya hatuwapendi kuepuka hii kadhia ya kututikisa vibiriti[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikua wapuuzi Sana,
Wife kwnyw maswala ya duka tangu hapo sijawai kumuamini tena,kabaki mama wa nyumbani.

Yule kijana wa Oda ninae mpk Leo tukakimbiza faranga Hapa Hapa mjini,
Keshaoa na Anafanya vzur sn kibiashara na Yale Maduka yote mawili anayasimamia vizur sn. Na amekua mwanafamilia wetu na sio mfanyakaz Tena Kama zamani.
Waoooo...Raha Sana ht weee pia unaonekana unajua kuishi na watu
 
Waoooo...Raha Sana ht weee pia unaonekana unajua kuishi na watu
Kuishi vizur na Watu Ni mtaji,
Nisingekua naish vzr na Watu Hata mchezo mchafu dukn kwangu wa wife na Kaka ake kunihujumu nisingegundua kabisa maana alienitonya ni jirani yangu wa duka opposite.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tulipokua tumefikia,
Hakukua na namna ambavyo angechukua vile vitu maana nilikwenda kuvibwaga ukweni (alikozaliwa).

Sasa presha ilikua kwa wazazi wake maana ni fedhea kwa familia nzima maana nilimjazia Watu Sana.

Otherwise Kama ningefanyia vichochoroni angejipa ujasiri litapita, nilichofanya nilimtangazia yeye na familia yake nzima.

KWA FAMILIA INAYOJIELEWA,
HAKUKUA NA NAMNA WANGEPOKEA VILE VITU KWNY MAZINGIRA YAO.

Maana kushusha mzigo wa fuso na canter kuumwaga kiwanjan, afu magomeni uswahilini mchana kweupe Ni aibu Kuna sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Pia ni vizuri maana umewaonyesha msimamo ukiwa legelege ukwen watakusumbua mnoo bora kuwa kaksi
 
Back
Top Bottom