Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Pole Sana mkuu,
Ni kipind tu kinapita ktk maisha
Unaumia,unasahau na maisha yanasonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh hahahaaa nisamehe mkuu kwa kucheka ila hamna namna nimejikuta tu nacheka!!!
From 20M to 650k! Huyo kiboko!
 
DeepPond Man, you're extremely intelligent and great storyteller. Kudos.
Kama itakupendeza tufahamishe mkeo anamchukuliaje Mama J? Au kakubaliana na hali?
 
DeepPond Man, you're extremely intelligent and great storyteller. Kudos.
Kama itakupendeza tufahamishe mkeo anamchukuliaje Mama J? Au kakubaliana na hali?
Kwasasa
wife anajua nilishaachana na mamaJ MDA sana

Kuna kipind mamaJ alijichetua sana,
Anataka kuolewa kwa Lazima nikakataa,
Akaanzisha varangati ili kujitambulisha kusudi kwa wife kama mke wangu mdg,

Yaan mamaJ anamchokoza wife kusudi, Wife akareact wakarushiana Maneno Sn.
Sasa wife kujibizana sana hawezi,kapata depression mpk kalazwa hospitali.

Ikabd kumfata mamaj na kumuwasha makofi na kumpiga block Moja kwa Moja asinizoee. Ila

Sema maelezo yake marefu sn,
Uzi wake umo humu, miaka ya nyuma

hebu ngoja nikafukue ukaupitie kwny timeline




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na vitu kama hivi ndo unasikia mwanaume kafa,Mali zimepotea sijui marafki wamedhulumu yaani mambo kama haya..

Mwanamke anashindwa kujua umuhimu wake km mke matokeo yake mume anaogopa hata kumwambia siri za msingi
 
Big up brother, hakika kisa chako kinafundisha mno, japo ulimkazia sana my wife wako.
 
Nipo hapa napiga balimi ila hizo story zako zimenitoa[emoji25], sijui kwanini
 
Na vitu kama hivi ndo unasikia mwanaume kafa,Mali zimepotea sijui marafki wamedhulumu yaani mambo kama haya..

Mwanamke anashindwa kujua umuhimu wake km mke matokeo yake mume anaogopa hata kumwambia siri za msingi
Kabisaa yaani wanawake sometimes tunaharibu wenyewe last year ndugu wa ukoo tumezika alikua mhasibu kanisani akakabidhiwa 7m na mchungaji akafika nyumbani hakupeleka benki siku akampa mkewe ahifadhi maana Kuna ujenzi unaendelea church,siku hyo anaambiwa ma mchungaji tuletee mzigo j2 tuendelee anafika home anamuambia mkewe naomba zile fedha ,daaahhhh ,mke Hana Hata sh.kumi zote hazijulikani zilipo mwanaume akkaanza kufoka watoto wakawa wanaskia ule mzozo anamuambia pesa za kanisa hizo ntasema Nini Mimi analalamika ghafla kafika sebuleni Yuko watoto wanashangaa dingi kadondoka kafa on the spot!!!it was sad moment na watoto ndo walisimulia Hali ilivyo
So wanawake sisi tuna shida Sana
 
 Masikini...
Huyo dada atajuta maisha yake uote!!

Au labda kuna wake ambao huhisi hela zitaishia kwa michepuko ndio maana huamua kuzifuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…