Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Ukichafukwa kitu chochote kinachomhusu mwanamke unakiona kama takataka TU na hutak hata kuskia

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejifunza mambo mawili kwa deeppond
1.Samaki mkunje angali mbichi (tunaokutana ukubwani Mungu aturehemu 😁)
2.Familia ya binti inaweza kuchangia kudumu au kuvunjika kwa ndoa (Hekima za baba mkwe ziliokoa ndoa yake)
 
Ha ha ha...
Hajawai kurudia ule Ujinga kabisa
Huwa namwabia kua hizi Mali za kupita,
Isifikie hatua Mali zikatuondolea utu na ubinadamu
Mali haziwez kunifanya niogope kuachana na mwanamke Maana najua hata zikipotea mikono na miguu bado ninayo, kama nilivotafuta zile,ntatafuta nyngn pia.

Mkuu,
Achilia mbali kugawana na mwanamke,
Nishapitia hasara nyng sanankibiashara kuliko hata hizo Mali mwanamke angechukua.

Kwahyo,
Hata angesema anachukua,
Ningechukulia ni hasara TU kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lete visa hivyo bhana hasara zipi hizo nakumbuka kwenye uzi wetu ule wa MIKEKA mizinga uliyokuwa unatupia na mingine ikichanika mizinga ya maana hebu ukipata time tupia na story hizo tafadhali
 
Nimejifunza mambo mawili kwa deeppond
1.Samaki mkunje angali mbichi (tunaokutana ukubwani Mungu aturehemu [emoji16])
2.Familia ya binti inaweza kuchangia kudumu au kuvunjika kwa ndoa (Hekima za baba mkwe ziliokoa ndoa yake)
Hapo namba 1 Sahii kabisa,
Wee angalia tabu nnayoipata kumrudisha mamaJ mstarini, Ni habadiliki uswahili ushakaa kwny damu. hiki leo kesho anarudia

Kuoa MKE mdg nako Kuna faida zake[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu lete visa hivyo bhana hasara zipi hizo nakumbuka kwenye uzi wetu ule wa MIKEKA mizinga uliyokuwa unatupia na mingine ikichanika mizinga ya maana hebu ukipata time tupia na story hizo tafadhali
Big up una kumbukumbu nzur sn,
Kwny mikeka nako nikikua napoteza pesa mingi Sana,Sema kwasababu Ni utaftaji napotezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila baba yako DeepPond Ni bonge moja mzee mwenye busara sana.
Hana papara katika kufanya maamuzi. Yaani ikiangalia the way alivyokuwa anahandle issues!! Hakuna gadhabu ama kujionyesha kuwa yeye baba tu, bali kwa utulivu na kwa hekima. Kongole kwake💪👍
 
Aloo we acha tu me mpaka kesho muhindi bado na hasira nae naendelea kumuwinda tu na bado anazidi nipa za uso tu [emoji23]
Mi bado nipo,
Japo kwasasa sio Kama zaman,
Nowdays nacheza Sana inplay nnapokua free

Nabet for plaesure,not pressure sikomai sn
Sema Sina hasara nae, nmemla Sana

Ninapokua na MDA nabet,nikikosa natulia sifanyi risk za kijinga kuweka pesa ilimradi
Nakua mpole mpk nijiridhishe kwanza.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila baba yako DeepPond Ni bonge moja mzee mwenye busara sana.
Hana papara katika kufanya maamuzi. Yaani ikiangalia the way alivyokuwa anahandle issues!! Hakuna gadhabu ama kujionyesha kuwa yeye baba tu, bali kwa utulivu na kwa hekima. Kongole kwake[emoji123][emoji106]
Mzee wangu kiukweli namuaminia Sana,
Huwa hakurupuki kwny maamuz yake na anapenda kumskiliza Sana ukimletea jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wakuu,

Kwanza niseme TU kisa hiki ni Cha miaka mingi ya nyuma sn ilopita ya ndoa yangu na MKE wangu MAMA G.
Kiukweli miongoni mwa ndoa zilizopita misukosuko mingi miaka 5 ya kwanza ya kwangu naweza kusema ilikua mojawapo.

Misukosuko hii nashkuru iliweza kutujenga imara mpk Sasa naweza kusema sijutii kuoa na naweza kusema nmebahatika kupata MKE Bora kabisa maishani, yaliyopita Si ndwele. Tugange yaliyopo na yajayo.

Anyway,
Nawaletea kisa Cha misukosuko ya ndoa yangu ambapo MKE wangu baada ya ugomvi mkubwa alidai talaka na kutaka tufuate sheria ili tugawane Mali, sema nilichomfanyia nilimnyoosha alijuta na hatosahau maishani mwake na mpk leo Hata tugombane vipi.

Kauli ya "TUGAWANE MALI" ilikoma na hawezi Tena kurudia kuitamka Tena.

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu nimesoma story yote
Hakika ni mfano wa kuigwa na iwe reference kwa wote ndugu
 
Nimejifunza mambo mawili kwa deeppond
2.Familia ya binti inaweza kuchangia kudumu au kuvunjika kwa ndoa (Hekima za baba mkwe ziliokoa ndoa yake)

Kwa baba mkwe,.
Kiukweli mola ampe maisha marefu Sana,
Ni mzee mwenye busara sn na asiyetaka mambo ya hovyo kwny familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom