Habari wakuu,
Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.
Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba
Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani
Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia
Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.
Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.
Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba
Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani
Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia
Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.
Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu