Mke amehama chumba tulichokuwa tukilala pamoja

Mke amehama chumba tulichokuwa tukilala pamoja

Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Wakwako tu huyo, kusanya vifaranga weekend peleka kwa bibi jumapili kawachukue. Mtoe mkeo out moja matata, ikiwezekana mkalale nje somewhere romantic.. mbembeleze, muombe msamaha hata wa uongo. Unamjua kuliko sisi wanajamvi.
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Kuna mpuuzi huko ashamshika mapembe! Kwa kifupi unato-mbewa huko nje....Hapo anataka uhuru ili awe huru zaidi na mtu wake.....Mpe akitakacho kabla hajakuletea ukimwi.
 
Daah sasa hapo mnawafundisha nn watoto? Ni aibu emu jitathiminini muyatatue matatzo yenu hapo tunashindwa kukushaur bcz haujatupa kisa mpka kutokea hio hali na pia lazma tusikilize pande zote mbili. JITATHIMININI!!!!!!!
 
Aisee kweli wanaume tumetofautiana sana, yaani mimi nilivyo wife hata nimkosee kwa kiwango gani, siku akifanya huo ujinga kwamba akalale kwa watoto wiki tatu na anakula anakokujua, mlango alioingilia ndio atakaotokea kurudi alikotoka. Hili kwangu analijua na hata siku moja hawezi kujitikisia kiberiti
 
Duuuh miaka kumi na mbili bado ujamjua Vizuri mke wako hadi unakuja uku kuomba ushauri 😴😴

Bora kuishi na sheteni unaye mjua kuliko malaika usie mfaham
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
endelea kua boya bro mkeo ana maamuzi juu ya nyumba yako for real na ikumbukwe bado sijaoa ila sizani kama mke anaeza hama chumba changu eti kisa 🤣🤣my people I'm not ready for marriage
 
Screenshot_20241008-112306_Facebook.jpg
Screenshot_20241008-112306_Facebook.jpg
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Kaka watoto zako ndio ndugu zako.
Mke ni rafiki na unajua siku zote urafiki unaweza ukafa muda wowote na kupata rafiki mwingine wa kukufariji na kukusaidia.

Watoto zako ndio ndugu zako lakini kama unauhakika hao ni watoto wako pia.
 
Ningekuwa mimi ndio mume,ningemwambia kuhamia kwa watoto ni kunivunjia heshima mbele ya wanangu,ni bora akaenda kwao kwanza kama ana hasira sana
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Aisee mbona wakongwe kabisa?

Kaa chini na wife mzungumze.

Mazungumzo yenu ndio yataamua kuishi pamoja au kuachana.

Zungumzeni.
 
Wakwako tu huyo, kusanya vifaranga weekend peleka kwa bibi jumapili kawachukue. Mtoe mkeo out moja matata, ikiwezekana mkalale nje somewhere romantic.. mbembeleze, muombe msamaha hata wa uongo. Unamjua kuliko sisi wanajamvi.
Wangu hakuna out utakayompeleka akaenda bila kusettle dispute kwanza.

Hajui kabisa kupandisha furaha kama kuna kesi
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Kapange chumba sehemu kwa muda atanyoosha maelezo alafu utampa utaratibu unaoutaka alafu wanaume sikuhizi tumekua wapole hizi ndio adhari za kuwategemea wanawake kiuchumi.
 
Back
Top Bottom