Mke amehama chumba tulichokuwa tukilala pamoja

Mke amehama chumba tulichokuwa tukilala pamoja

  1. Mna umri gani
  2. Ndoa yenu ina muda gani
  3. Mna watoto wangapi
  4. Asili yenu mikoa gani
  5. Elimu yako na mkeo ni kiasi gani
  6. Kipato chako na chake vinatofautiana kiasi gani
  7. Mnaishi mjini au kijijini
  8. Je mnashika nafasi gani za kiuongozi kanisani kwenu
Tuanzie hapo
Ahsante mkuu
1.Umri wangu ni 44 yrs, yeye 32 yrs
2.Ndoa Ina miaka 6 Ila tuliishi pamoja kwa miaka 5 kabla ya kufunga NDOA.
Tupo pamoja kwa miaka 11 sasa.
3.Tuna watoto watatu
4.Mme Mmakonde, Mke Msukuma
5.Mme ni Mwalimu na mke ni mjasiriamali
6.Tofauti ni kama laki 3.
7 . Tunaishi mjini dar es salaam
8.Hakuna kiongozi
 
Ahsante mkuu
1.Umri wangu ni 44 yrs, yeye 32 yrs
2.Ndoa Ina miaka 6 Ila tuliishi pamoja kwa miaka 5 kabla ya kufunga NDOA.
Tupo pamoja kwa miaka 11 sasa.
3.Tuna watoto watatu
4.Mme Mmakonde, Mke Msukuma
5.Mme ni Mwalimu na mke ni mjasiriamali
6.Tofauti ni kama laki 3.
7 . Tunaishi mjini dar es salaam
8.Hakuna kiongozi
Upo uwezekano mkubwa kufunga ndoa ndiko kumempa jeuri ya hayo anayofanya
Je mnautaratibu wa ku share simu zenu?
 
Upo uwezekano mkubwa kufunga ndoa ndiko kumempa jeuri ya hayo anayofanya
Je mnautaratibu wa ku share simu zenu?
Mara nyingi alikuwa yangu sababu ya bando, ni sikuwahi kuona shida Toyota kutokea uko
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Huyu anadai promotion, mfanye mke mkubwa.
 
Shida sana mkuu bt ndoa nyingi zina changamoto sana hapo mwanamke ameshakuchoka na inawezekana Kuna mtu Yuko nae tayari yaani mapenzi hapo hayapo na huwezi kumbadilisha unajua wanawake wengi wakishatoka nje ya ndoaa huwa wanakuwa na vitabia kama ivyo hata Mimi ilinotokea hivyo hivyo nikaja kugundua badae mwanamke ananichiti na tulishaachana mda mrefu sana bt Mimi nilizaa nae mtoto mmoja mmoja mkuu Cha kukushauri mwombe sana mungu lakini kwa ushauri wa huku kwenye mtandao hautakusaidia mungu ndio anaweza kumbadilisha
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
endeleeni hivohivyo we ukifika nyumbani salimia hata kama haitiki kaa mezani toa hela zote weka mezani kama vile unapanga mahesabu kama huna mkope hata rafiki yako akupe hata laki3 halafu hesabu pale mezani kisha unampigia rafiki yako hatakama ni kuzuga tu kwa mambo ni mazuri ile laki mbili kesho ntakutumia
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Mwambie ahame nyumbani kabisa.
Wakianza kuchepuka wana kiburi sana
 
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Kabla ya kukushauli kwanza tungejua ni kabila gani?
 
Ahsante mkuu
1.Umri wangu ni 44 yrs, yeye 32 yrs
2.Ndoa Ina miaka 6 Ila tuliishi pamoja kwa miaka 5 kabla ya kufunga NDOA.
Tupo pamoja kwa miaka 11 sasa.
3.Tuna watoto watatu
4.Mme Mmakonde, Mke Msukuma
5.Mme ni Mwalimu na mke ni mjasiriamali
6.Tofauti ni kama laki 3.
7 . Tunaishi mjini dar es salaam
8.Hakuna kiongozi
Kumbe wamakonde mnaoaga?
 
Na wewe hamia chumba cha Dada wa kazi
Habari wakuu,

Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.

Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba

Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani

Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia

Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.

Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
 
Ukioa Kobe juu mti jua kapandishwa
Amekujaribu na ameshakauona wewe dhaifu ni sana
 
Sisi Alpha male huwa hatupendi kupandwa na wanawake kichwani lakini huwa tunaheshimu familia na huwa tunakubali makosa yetu tukikosea kama wewe ndo umemkosea jishushe uombe radhi maana hata mwanamke nae ana moyo pia.

Ila kama yeye ndo amekukosea alafu anakufanyia hivyo vituko hapo sasa ndo naweza kukupa ushauri wa kibedui
 
Wakwako tu huyo, kusanya vifaranga weekend peleka kwa bibi jumapili kawachukue. Mtoe mkeo out moja matata, ikiwezekana mkalale nje somewhere romantic.. mbembeleze, muombe msamaha hata wa uongo. Unamjua kuliko sisi wanajamvi.
Yani vurugu zote hizo kisa jitu limejinunisha?
 
Kuna rafiki yangu Ana umri wa 30s kanipa story inayofanana Kama yako

Kanambia mama yake kamkimbia baba yake na analala chumba cha watoto.

Basi hii itakuwa style mpya maana haijaanzia kwako
 
Ahsante mkuu
1.Umri wangu ni 44 yrs, yeye 32 yrs
2.Ndoa Ina miaka 6 Ila tuliishi pamoja kwa miaka 5 kabla ya kufunga NDOA.
Tupo pamoja kwa miaka 11 sasa.
3.Tuna watoto watatu
4.Mme Mmakonde, Mke Msukuma
5.Mme ni Mwalimu na mke ni mjasiriamali
6.Tofauti ni kama laki 3.
7 . Tunaishi mjini dar es salaam
8.Hakuna kiongozi
Hapo kwenye ualimu wako ndiko shida imeanzia..anakuona huna hela chief.
 
ANGALIZO: Under normal circumstance, hio huwa ni hatua ya Mwisho mwanamke hupitia kabla hajaenda kugongwa nje.

Mkuu hio ni ishara kuwa wewe ndio MKOSAJI, so anatumia hio kama Adhabu. vilevile umeshindwa kumuongoza MKEO (Unamuogopa).

Unapaswa kukemea tabia ya yeye kutokula nyumbani iishe mara moja, bila kujalisha kama wewe ndio umekosea au lah! Solve your problems like a Man. Baba Mkwe aliamini unaweza kumuongoza Binti yake. USIMUANGUSHE.

Be a Man, Focus na ishu za msingi za kifamilia na timiza wajibu wako kama Baba.
Well said
 
Back
Top Bottom