Ahsante mkuuTuanzie hapo
- Mna umri gani
- Ndoa yenu ina muda gani
- Mna watoto wangapi
- Asili yenu mikoa gani
- Elimu yako na mkeo ni kiasi gani
- Kipato chako na chake vinatofautiana kiasi gani
- Mnaishi mjini au kijijini
- Je mnashika nafasi gani za kiuongozi kanisani kwenu
Upo uwezekano mkubwa kufunga ndoa ndiko kumempa jeuri ya hayo anayofanyaAhsante mkuu
1.Umri wangu ni 44 yrs, yeye 32 yrs
2.Ndoa Ina miaka 6 Ila tuliishi pamoja kwa miaka 5 kabla ya kufunga NDOA.
Tupo pamoja kwa miaka 11 sasa.
3.Tuna watoto watatu
4.Mme Mmakonde, Mke Msukuma
5.Mme ni Mwalimu na mke ni mjasiriamali
6.Tofauti ni kama laki 3.
7 . Tunaishi mjini dar es salaam
8.Hakuna kiongozi
Mara nyingi alikuwa yangu sababu ya bando, ni sikuwahi kuona shida Toyota kutokea ukoUpo uwezekano mkubwa kufunga ndoa ndiko kumempa jeuri ya hayo anayofanya
Je mnautaratibu wa ku share simu zenu?
Huyu anadai promotion, mfanye mke mkubwa.Habari wakuu,
Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.
Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba
Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani
Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia
Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.
Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
endeleeni hivohivyo we ukifika nyumbani salimia hata kama haitiki kaa mezani toa hela zote weka mezani kama vile unapanga mahesabu kama huna mkope hata rafiki yako akupe hata laki3 halafu hesabu pale mezani kisha unampigia rafiki yako hatakama ni kuzuga tu kwa mambo ni mazuri ile laki mbili kesho ntakutumiaHabari wakuu,
Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.
Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba
Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani
Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia
Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.
Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Mwambie ahame nyumbani kabisa.Habari wakuu,
Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.
Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba
Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani
Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia
Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.
Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Kabla ya kukushauli kwanza tungejua ni kabila gani?Habari wakuu,
Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.
Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba
Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani
Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia
Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.
Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
Kumbe wamakonde mnaoaga?Ahsante mkuu
1.Umri wangu ni 44 yrs, yeye 32 yrs
2.Ndoa Ina miaka 6 Ila tuliishi pamoja kwa miaka 5 kabla ya kufunga NDOA.
Tupo pamoja kwa miaka 11 sasa.
3.Tuna watoto watatu
4.Mme Mmakonde, Mke Msukuma
5.Mme ni Mwalimu na mke ni mjasiriamali
6.Tofauti ni kama laki 3.
7 . Tunaishi mjini dar es salaam
8.Hakuna kiongozi
Habari wakuu,
Naombeni ushuri maana ni week ya tatu sasa toka mke wangu amehama chumba chetu na kuhamia kwa watoto.
Sababu ya yeye kuhama ni kutokuelewana ambako binafsi naamini ni kwa kawaida ndani ya nyumba
Ni mke wangu wa NDOA ya kanisani kabisa na kwa kuwa naye ananishughulisha basi hata ananunua vyakula vyake na akifika hata kama kuna chakula hali ndani
Toka hiyo kutokuelewana hata kuongea hatuongei zaidi ya Mimi kuongea na watoto au yeye kufanya hivyo pia
Naombeni ushauri wa nini naweza kukifanya ili yeye arudi chumbani au asepe kabisa nijue moja.
Tumeishi wote kwa miaka 12 sasa na tumepata watoto watatu
AhaaaNawewe hama chumbani hamia sebuleni na chumba mpangishe shida iko wapi?
Yani vurugu zote hizo kisa jitu limejinunisha?Wakwako tu huyo, kusanya vifaranga weekend peleka kwa bibi jumapili kawachukue. Mtoe mkeo out moja matata, ikiwezekana mkalale nje somewhere romantic.. mbembeleze, muombe msamaha hata wa uongo. Unamjua kuliko sisi wanajamvi.
Hapo kwenye ualimu wako ndiko shida imeanzia..anakuona huna hela chief.Ahsante mkuu
1.Umri wangu ni 44 yrs, yeye 32 yrs
2.Ndoa Ina miaka 6 Ila tuliishi pamoja kwa miaka 5 kabla ya kufunga NDOA.
Tupo pamoja kwa miaka 11 sasa.
3.Tuna watoto watatu
4.Mme Mmakonde, Mke Msukuma
5.Mme ni Mwalimu na mke ni mjasiriamali
6.Tofauti ni kama laki 3.
7 . Tunaishi mjini dar es salaam
8.Hakuna kiongozi
Well saidANGALIZO: Under normal circumstance, hio huwa ni hatua ya Mwisho mwanamke hupitia kabla hajaenda kugongwa nje.
Mkuu hio ni ishara kuwa wewe ndio MKOSAJI, so anatumia hio kama Adhabu. vilevile umeshindwa kumuongoza MKEO (Unamuogopa).
Unapaswa kukemea tabia ya yeye kutokula nyumbani iishe mara moja, bila kujalisha kama wewe ndio umekosea au lah! Solve your problems like a Man. Baba Mkwe aliamini unaweza kumuongoza Binti yake. USIMUANGUSHE.
Be a Man, Focus na ishu za msingi za kifamilia na timiza wajibu wako kama Baba.