Mke anahitajika wa ndoa

Mbona unawaonea, ataifahamuje ndoa na hayupo ndoani.
 
Hongera sana

Ukipata mwanaume anayejielewa unastahili angalau ka IST kwa kujitunza [emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376]

Pesa ndio hawana sasa, kelele za bandari tu wanazo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani mie natafuta mke bro...mie nataka hao hao wa type yangu.
Kwa kibamia hiki niseme nioe aisee mbona kila leo nitakuwa nakuja saka ushauri hapa jf maana mke atakuwa anatombwer tuu nje na de liboloz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],ila we jamaa,kha!
 
Mkuu tulipata wake humu, its very tricky ila wapo wadada wazuri sana wa tabia, wanafaa kuweka ndani. Lwa wengine jf ni alama ya maisha as imetukutanisha na wake zetu.
 
Mkuu tulipata wake humu, its very tricky ila wapo wadada wazuri sana wa tabia, wanafaa kuweka ndani. Lwa wengine jf ni alama ya maisha as imetukutanisha na wake zetu.
Aisee hatari ...sii mchezo kumbe watu humu mnaowana kabisa na hamsemi. Hongera bwana
 
Aisee hatari ...sii mchezo kumbe watu humu mnaowana kabisa na hamsemi. Hongera bwana
Nimekupa ushuhuda huo, atakuja mwingine asiye mwoga nae atamwaga ushuhuda wake. 10+yrs of knowing each other mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…