Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Mbona unawaonea, ataifahamuje ndoa na hayupo ndoani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui huyo...Mwambie huyo bro [emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui huyo...
JF hapa hata mabikra wapo hajui tu huyo bro [emoji16]
Hongera sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisaa bro mwenyewe bado ninayo
Hongera sana
Ukipata mwanaume anayejielewa unastahili angalau ka IST kwa kujitunza [emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],ila we jamaa,kha!Kwani mie natafuta mke bro...mie nataka hao hao wa type yangu.
Kwa kibamia hiki niseme nioe aisee mbona kila leo nitakuwa nakuja saka ushauri hapa jf maana mke atakuwa anatombwer tuu nje na de liboloz
Nini tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],ila we jamaa,kha!
Acha uzoba na ushenzi unaboa sanaBro jf hamna wanawake wakuoa utakuja lia bure. Au wee mpenzi wa mitumba🤣🤣🤣🤣
Au basiNini tena
Press the ignore button plzAcha uzoba na ushenzi unaboa sana
Kwanini. Wa humu wana kasoro gani?Ni kweli lakini sio hapa jf
Wee bwana tuombe kwanz ushuhuda wa waliofanikiwa ndio tutapata jibu sahihiKwanini. Wa humu wana kasoro gani?
Shuhuda zipo bana. Sema hujaamua kuzifuatilia na kuziamini.Wee bwana tuombe kwanz ushuhuda wa waliofanikiwa ndio tutapata jibu sahihi
Mkuu tulipata wake humu, its very tricky ila wapo wadada wazuri sana wa tabia, wanafaa kuweka ndani. Lwa wengine jf ni alama ya maisha as imetukutanisha na wake zetu.Ninkweli kabisa waje watoe ushuhuda lah sivyo tutaendelea kuamini kuwa ni porojo tuu hapa love connect.
Ila kuna mrembo mmoja alipost analalamika kiwa jamaa alimgegeda na kumtia mimba ila sasa hataki kuhudumia....so inaonekana ata wanaume wa jf nao sio husband material
Si ignore unaboa kwani wewe nani useme watot wamama za watu hivyoo unajiona nani kwanzaPress the ignore button plz
Aisee hatari ...sii mchezo kumbe watu humu mnaowana kabisa na hamsemi. Hongera bwanaMkuu tulipata wake humu, its very tricky ila wapo wadada wazuri sana wa tabia, wanafaa kuweka ndani. Lwa wengine jf ni alama ya maisha as imetukutanisha na wake zetu.
Mie najiona kama mzabzab kwani wewe unanionajeSi ignore unaboa kwani wewe nani useme watot wamama za watu hivyoo unajiona nani kwanza
Wengine walipata hapaNi kweli lakini sio hapa jf
Nimekupa ushuhuda huo, atakuja mwingine asiye mwoga nae atamwaga ushuhuda wake. 10+yrs of knowing each other mkuu.Aisee hatari ...sii mchezo kumbe watu humu mnaowana kabisa na hamsemi. Hongera bwana