Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Piga chini akaibane bane akiwa kwao.....
Ukimtoa miaka Mitano nyuma unakuta Ulioa Ukiwa Mzee na Mke pia alikuwa Mzee (Shangazi kwa Sasa). Hapo Mzee vumilia tuu.Mume ana 48 mke ana 37
Uzee hauna mahusiano na tendo la ndoa.. Mdororo wa afya ndio unaweza kumfanya mtu ashindwe kushiriki tendoUkimtoa miaka Mitano nyuma unakuta Ulioa Ukiwa Mzee na Mke pia alikuwa Mzee (Shangazi kwa Sasa). Hapo Mzee vumilia tuu.
We utafanyaje?
Bila shaka huyo Jamaa ni MsabatoHabarini wajukuu wema na wabaya. Nimeletewa mashitaka na huyu kijana mwenye ndoa ya miaka mitano sasa.
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa, hakuwasikiliza. Sasa yamemfika. Anadai kuwa wanaweza kukaa hata miezi sita bila kushiriki tendo hilo. Na jamaa anapohitaji anaweza kuomba hata wiki ndio apewe tena kwa masimango, mara huwezi mara umezeeka nk..
Amejaribu kuzungumza na mkewe bila mafanikio. Mwanamke anadai hajiskii, sasa ananiomba ushauri afanyeje ili ndoa yake idumu na apate tendo la ndoa kama kawaida?
Aoe mwanamke mwingine wanawake wengi namna hiyo anasumbuka na mwanamke,Habarini wajukuu wema na wabaya. Nimeletewa mashika na huyu kijana mwenye ndoa ya miaka sasa.
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa, hakuwasikiliza. Sasa imefika. Anadai kuwa kukaa hata miezi sita bila kushiriki tendo hilo. Na jamaa anapohitaji anaweza kuomba hata wiki ndio apewe tena kwa masimango, mara huwezi mara umezeeka nk..
Amejaribu msaada na mkewe bila mafanikio. Mwanamke anadai hajiskii, sasa ananiomba ushauri afanyeje ili ndoa yake idumu na apate tendo la ndoa kama kawaida?
Kweli mkuu. Mke mbishi na kisirani anapandishwatu cheo. Akiwa mke mkubwa mbona atainjoi upwekeAmpandishe cheo!
Wanaume mnakuwaje dhaifu hivi? Unanyimwa upo tu?
Mi kaka angu alizabwa kibao na mkewe, jioni akaoa bi mdogo na ni wakristo 😂😂
Mkuu umeambiwa kafunga ndoa ya Kimira yani wazee wanajua na kisheria inajulikana yani ata mfano mume wao akifariki kwenye kugawana Mirathi mke mdogo na watoto wake wanatambulika na ukoo. Na kama mume kaacha mashamba na viwanja kijijini kwao vitagawiwa kwa wajane wa marehemu.Madam Dejane,
Ni hivi. Kama Kaka yako alifunga ndoa kanisani na mwanamke wa kwanza Halafu akaenda kufunga ndoa ya kimila jioni ya siku hiyo baada ya kupigwa kibao na mkewe. Kisheria ndoa ya pili ni batili na haipo.
Hakuna wanaume wenye ndoa ya kikristo aliye na mke zaidi ya mmoja.
ILA wapo wanaume wenye ndoa ya kikristo wenye wanawake wengi na Mke mmoja.
Hapa nimeeleweka?