Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Chezea wasukuma walolelewa kwa mfumo dumeHuyo kaua 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chezea wasukuma walolelewa kwa mfumo dumeHuyo kaua 🤣🤣🤣🤣
Oyaa, sizingui, we piga dua tu Arsenal tunyenyue kwapaOyoooooooo!!! 😍😍😍
Ubingwa wetu na jezi ninayo, ole wako uzingue makaveli ntakuchamba 🤣🤣🤣🤣
Hii naiweka kwenye diary ole wako makaveli ntakufungulia uzi wa kukuchamba nakwambia 🤣🤣🤣🤣Oyaa, sizingui, we piga dua tu Arsenal tunyenyue kwapa
Sasa hapo ndipo unapoenda kukosa, unaanza kunitishia tena kwenye hela yangu, ukinichamba ndio nitakufa auHii naiweka kwenye diary ole wako makaveli ntakufungulia uzi wa kukuchamba nakwambia 🤣🤣🤣🤣
Nilijua tu unachangamsha genge 🤣🤣🤣S
Sasa hapo ndipo unapoenda kukosa, unaanza kunitishia tena kwenye hela yangu, ukinichamba ndio nitakufa au
😂🤣🤣
Mimi ndio tupa tupa, kupata kuna mungu, we ombea ubingwa halafu uone utakavyong'aa na uzi wa arsenalNilijua tu unachangamsha genge 🤣🤣🤣
Kuna mmoja aliniahidi jezi ya Yanga akala kona mpk leo 😂😂😂
TutaonaMimi ndio tupa tupa, kupata kuna mungu, we ombea ubingwa halafu uone utakavyong'aa na uzi wa arsenal
Ukitumia nguvu utaonekana unabaka kisheriaHivi hizi stori za kunyimwa huwa zipo kweli au mnatania? Sasa unashindwa kutumia nguvu?
Duh![emoji848]Baka tu
😂😂Ampandishe cheo!
Wanaume mnakuwaje dhaifu hivi? Unanyimwa upo tu?
Mi kaka angu alizabwa kibao na mkewe, jioni akaoa bi mdogo na ni wakristo 😂😂
😆Kesi kama hiyo mi siipeleki kokote, naimaliza mwenyewe!
Ndoa sio kifungo kwangu, labda kama niwe sina ubongo.
Kenge kabisa!