Mke anamnyima mumewe tendo la ndoa, nini kifanyike?

Mke anamnyima mumewe tendo la ndoa, nini kifanyike?

48yrs old unaombwa kushauriwa vitu kama hivi kweli?!!! Mi nilitegemea kwa umri huo mtu utaomba kushauriwa jinsi ya kukontro business zako ukiwa home or else. Wewe bado unahangaika na ngono kama unamiaka 20+
Hana shida nyingine yoyote kuhusu business na kazi zake.. Shida yake ni tendo la ndoa kwa mkewe tu
 
Ampandishe cheo ,wanaume mnakuwaje dhaifu hivi??unanyimwa upo tu ??
Mi kaka angu alizabwa kibao na mkewe jioni akaoa bi mdogo na ni wakristo 😂😂
Kiuhalisia hili halipo.

Kuna Ndoa ya mitaala na ndoa ya kikristo.

Ndoa za kimila na za kiislamu unaweza ukaoa mwanamke zaidi ya mmoja.
Ndoa ya kikristo ni mwanamke mmoja. Kama alioa ndoa ya pili ni ndoa batili.

Labda kama umeamua kutufurahisha madam.
 
Kiuhalisia hili halipo.

Kuna Ndoa ya mitaala na ndoa ya kikristo.

Ndoa za kimila na za kiislamu unaweza ukaoa mwanamke zaidi ya mmoja.
Ndoa ya kikristo ni mwanamke mmoja. Kama alioa ndoa ya pili ni ndoa batili.

Labda kama umeamua kutufurahisha madam.
Sasa kaamua kuishi nae official kwan lazima aende kanisani??mke mkubwa anajulikana na mdogo anajulikana hataki aondoke mbona amekuwa mdogo na heshima juu ,na mke mdogo keshajifungua watoyo wawili sasa hakuna cha dini wala nin
 
Kwa hiyo wameshindwa wenyewe kuyamaliza wanataka third party ndio asuluhishe? Kwa karne ya sasa kama yameshindikana ya nini kuyalazimisha?

Kama mtu hataki hio haina tofauti na Ubakaji..., Na mpaka hataki lazima kuna sababu na kama hizo sababu hawezi kuzibadilisha/kubadilika ni wakati wa kila mmoja wao kuchukua Hamsini zake...
 
Sasa kaamua kuishi nae official kwan lazima aende kanisani??mke mkubwa anajulikana na mdogo anajulikana hataki aondoke mbona amekuwa mdogo na heshima juu ,na mke mdogo keshajifungua watoyo wawili sasa hakuna cha dini wala nin
Nimejaribu kukuelewa nimeshindwa😃.

Yaani kaka yako ni mkristo yupo ndani ya ndoa ya kikristo, akapigwa kibao Halafu jioni ya siku hiyo akafunga ndoa?

Ya kikristo au ya aina gani?
Kama alifunga ndoa na Mke wa kwanza hilo haliwezekani. ILA kama kaka yako alifunga ndoa ya kimila hilo linawezekana au alibadili dini hilo linawezekana.

Tofauti na hapo Hakuna linalofanyika.
 
Nimejaribu kukuelewa nimeshindwa😃.

Yaani kaka yako ni mkristo yupo ndani ya ndoa ya kikristo, akapigwa kibao Halafu jioni ya siku hiyo akafunga ndoa?

Ya kikristo au ya aina gani?
Kama alifunga ndoa na Mke wa kwanza hilo haliwezekani. ILA kama kaka yako alifunga ndoa ya kimila hilo linawezekana au alibadili dini hilo linawezekana.

Tofauti na hapo Hakuna linalofanyika.
Ya kimila hiyo kwani mnashangaa hakuna wakristo wenye wake wawili au watatu???zi za kimila katoa na mahari juu na kaeshazaa nae na mke mkubwa anajua kuja bi mdogo hakuna siri
 
Ya kimila hiyo kwani mnashangaa hakuna wakristo wenye wake wawili au watatu???zi za kimila katoa na mahari juu na kaeshazaa nae na mke mkubwa anajua kuja bi mdogo hakuna siri
Madam Dejane,

Ni hivi. Kama Kaka yako alifunga ndoa kanisani na mwanamke wa kwanza Halafu akaenda kufunga ndoa ya kimila jioni ya siku hiyo baada ya kupigwa kibao na mkewe. Kisheria ndoa ya pili ni batili na haipo.

Hakuna wanaume wenye ndoa ya kikristo aliye na mke zaidi ya mmoja.
ILA wapo wanaume wenye ndoa ya kikristo wenye wanawake wengi na Mke mmoja.

Hapa nimeeleweka?
 
Madam Dejane,

Ni hivi. Kama Kaka yako alifunga ndoa kanisani na mwanamke wa kwanza Halafu akaenda kufunga ndoa ya kimila jioni ya siku hiyo baada ya kupigwa kibao na mkewe. Kisheria ndoa ya pili ni batili na haipo.

Hakuna wanaume wenye ndoa ya kikristo aliye na mke zaidi ya mmoja.
ILA wapo wanaume wenye ndoa ya kikristo wenye wanawake wengi na Mke mmoja.

Hapa nimeeleweka?
Sasa sisi anatambulika ni mke wachana na dini zenu 😂😂😂 kama angekuwa ana ubavu mke mkubwa angeondoka yupoo
 
Back
Top Bottom