Mke anaruhusiwa na Sheria ya Ndoa kukopa kupitia jina la Mume na Mume kuwajibika kulipa

Kuna wanaume muda huu watafirisika muda sio mrefu.
 
Hii ipo siku zote kwenye sheria ya ndoa lakini inatakiwa akope kama mume ameshindwa au hatoi matumizi kwa familia, na iyo hela itatumika kwa matumizi ya familia.
Hii itachochea sana mparaganyokona vifo kwenye ndoa
 
Mje niwaoe mkopee jina langu ntawalipia madeni yenu yote hadi ya nyuma
 
G
Haya manamake ya kileo yatatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…