Mke anaruhusiwa na Sheria ya Ndoa kukopa kupitia jina la Mume na Mume kuwajibika kulipa

Mke anaruhusiwa na Sheria ya Ndoa kukopa kupitia jina la Mume na Mume kuwajibika kulipa

Hii ipo siku zote kwenye sheria ya ndoa lakini inatakiwa akope kama mume ameshindwa au hatoi matumizi kwa familia, na iyo hela itatumika kwa matumizi ya familia.
Hii itachochea sana mparaganyokona vifo kwenye ndoa
 
SHERIA YA NDOA, SURA YA 29 KIFUNGU CHA 64(1), (2) and (3).

Sheria ya ndoa chini ya kifungu tajwa hapo juu inamruhusu mwanamke ambaye ameolewa katika ndoa halali inayotambulika kisheria, KUKOPA fedha kwa jina la mumewe, au kuibadilisha mali ya mumewe inayohamishika kuwa fedha na kuitumia katika mazingira ya ulazima wa kufanya hivyo kutokana na mahitaji ya lazima ya mke au watoto halali wa ndoa.

Katika kukopa fedha au kuuza mali, ulazima wa kufanya hivyo ni lazima uthibitike, na kiwango cha mkopo wa fedha lazima kiendane na kipato cha mume.
Mje niwaoe mkopee jina langu ntawalipia madeni yenu yote hadi ya nyuma
 
G
SHERIA YA NDOA, SURA YA 29 KIFUNGU CHA 64(1), (2) and (3).

Sheria ya ndoa chini ya kifungu tajwa hapo juu inamruhusu mwanamke ambaye ameolewa katika ndoa halali inayotambulika kisheria, KUKOPA fedha kwa jina la mumewe, au kuibadilisha mali ya mumewe inayohamishika kuwa fedha na kuitumia katika mazingira ya ulazima wa kufanya hivyo kutokana na mahitaji ya lazima ya mke au watoto halali wa ndoa.

Katika kukopa fedha au kuuza mali, ulazima wa kufanya hivyo ni lazima uthibitike, na kiwango cha mkopo wa fedha lazima kiendane na kipato cha mume.
Haya manamake ya kileo yatatua
 
Back
Top Bottom