Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kuna wanaume muda huu watafirisika muda sio mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii itachochea sana mparaganyokona vifo kwenye ndoaHii ipo siku zote kwenye sheria ya ndoa lakini inatakiwa akope kama mume ameshindwa au hatoi matumizi kwa familia, na iyo hela itatumika kwa matumizi ya familia.
Kama hakukuwa na rekodi vizuri, hata hela ya bank inaweza kuota mbawaPesa mbona tunaweka benki na hatuogopi urasimu? Procedure zinafanana tu.
Mje niwaoe mkopee jina langu ntawalipia madeni yenu yote hadi ya nyumaSHERIA YA NDOA, SURA YA 29 KIFUNGU CHA 64(1), (2) and (3).
Sheria ya ndoa chini ya kifungu tajwa hapo juu inamruhusu mwanamke ambaye ameolewa katika ndoa halali inayotambulika kisheria, KUKOPA fedha kwa jina la mumewe, au kuibadilisha mali ya mumewe inayohamishika kuwa fedha na kuitumia katika mazingira ya ulazima wa kufanya hivyo kutokana na mahitaji ya lazima ya mke au watoto halali wa ndoa.
Katika kukopa fedha au kuuza mali, ulazima wa kufanya hivyo ni lazima uthibitike, na kiwango cha mkopo wa fedha lazima kiendane na kipato cha mume.
Haya manamake ya kileo yatatuaSHERIA YA NDOA, SURA YA 29 KIFUNGU CHA 64(1), (2) and (3).
Sheria ya ndoa chini ya kifungu tajwa hapo juu inamruhusu mwanamke ambaye ameolewa katika ndoa halali inayotambulika kisheria, KUKOPA fedha kwa jina la mumewe, au kuibadilisha mali ya mumewe inayohamishika kuwa fedha na kuitumia katika mazingira ya ulazima wa kufanya hivyo kutokana na mahitaji ya lazima ya mke au watoto halali wa ndoa.
Katika kukopa fedha au kuuza mali, ulazima wa kufanya hivyo ni lazima uthibitike, na kiwango cha mkopo wa fedha lazima kiendane na kipato cha mume.