Mke anaunguza chakula kila siku

Mke anaunguza chakula kila siku

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Mke wangu ananipikia chakula kilichoungua kila siku. Nimejaribu kumfundisha lakini amekuwa mkaidi kufuata maelekezo yangu. Hataki kufundishwa wala kuelekezwa chochote. Kama mnavyofahamu vyakula ni gharama sana.

Imekuwa kama nateketeza pesa zangu kwa kumwaga vyakula vilivyoungua kila siku. Amekuwa akikoroga wali hata mara 10 na ninapomwelekeza anakuwa jeuri. Moto wa gesi anawasha kama anataka kuchoma sufuria na sio kupika chakula, Sasa nataka ushauri nimrudishe kwao ama lah.
 
Iv swala la mapishi nayo ni changamoto kwenye ndoa siku iz?

Kuwa serious Mr. Tubadilishane kama vipi me wangu ni fundi wakupika [emoji41]
 
Iv swala la mapishi nayo ni changamoto kwenye ndoa siku iz?

Kuwa serious Mr. Tubadilishane kama vipi me wangu ni fundi wakupika [emoji41]
Ndugu yangu piga mahesabu ugharamikie vyakula kisha uone vikishindikana kula na kumwagwa
 
Ndugu yangu piga mahesabu ugharamikie vyakula kisha uone vikishindikana kula na kumwagwa
Tuanzie hapa kwanza:- ndoa ina muda gani ? Ili tujue tunakushauri vipi usije fanya maamuzi magumu zaidi kashetani kakutimua wanawake kabaya sana unaweza timua hata wanawake 10 na kila mwanamke anachangamoto zake ikumbukwe iyo
 
Mke wangu ananipikia chakula kilichoungua kila siku. Nimejaribu kumfundisha lakini amekuwa mkaidi kufuata maelekezo yangu. Hataki kufundishwa wala kuelekezwa chochote. Kama mnavyofahamu vyakula ni gharama sana. Imekuwa kama nateketeza pesa zangu kwa kumwaga vyakula vilivyoungua kila siku. Amekuwa akikoroga wali hata mara 10 na ninapomwelekeza anakuwa jeuri. Moto wa gesi anawasha kama anataka kuchoma sufuria na sio kupika chakula, Sasa nataka ushauri nimrudishe kwao ama lah.
Jf Raha Sana yaani nimecheka Sana eti anakoroga wali mala kumi!! Pole Sana mkuu huo ndo mzigo wako ubebe tu mkuu! Hata sisi tunamizigo yetu tumenyuti tunaibeba kimyakimya, hata hivyo tatizo dogo tu Hilo we tafuta house girl wa kitanga awe anakupikia misosi mitamu! huyo mkeo mwachie jukumu la kukupa utelezi tu na kuzaa watoto.
 
Mke asiye jua kupika hapana kwa kweli, ina maana mkuu uliingia kichwa kichwa bila "pre season"
Kuna kidemu kimoja kutoka kagera nilitaka kuoa miaka flani,nilidumu nacho miaka miwili katika mgegedo, nikagundua akijui kupika wali wala ugali na hakiko tayari kujifunza kupika Wala kula ugali. Chenyewe eti kinajua kupika na kula ndizi tu na ugali wa ndizi! Nikasema hakuna mke hapa ngoja nikigegede tu nimwage maji nijikatae!!
 
Back
Top Bottom