Mke anaunguza chakula kila siku

Mke anaunguza chakula kila siku

"Nitakuwa nawe kwenye shida na raha" shika huo mwiko kalisha kalio chini Mzee[emoji23]
 
Duuh kupika mbona simple sana? Ina maana wazazi/walezi hawakumfundisha?
 
Mke wangu ananipikia chakula kilichoungua kila siku. Nimejaribu kumfundisha lakini amekuwa mkaidi kufuata maelekezo yangu. Hataki kufundishwa wala kuelekezwa chochote. Kama mnavyofahamu vyakula ni gharama sana.

Imekuwa kama nateketeza pesa zangu kwa kumwaga vyakula vilivyoungua kila siku. Amekuwa akikoroga wali hata mara 10 na ninapomwelekeza anakuwa jeuri. Moto wa gesi anawasha kama anataka kuchoma sufuria na sio kupika chakula, Sasa nataka ushauri nimrudishe kwao ama lah.
Mnunulie vifaa vizuri vya kupikia
 
Mke wangu ananipikia chakula kilichoungua kila siku. Nimejaribu kumfundisha lakini amekuwa mkaidi kufuata maelekezo yangu. Hataki kufundishwa wala kuelekezwa chochote. Kama mnavyofahamu vyakula ni gharama sana.

Imekuwa kama nateketeza pesa zangu kwa kumwaga vyakula vilivyoungua kila siku. Amekuwa akikoroga wali hata mara 10 na ninapomwelekeza anakuwa jeuri. Moto wa gesi anawasha kama anataka kuchoma sufuria na sio kupika chakula, Sasa nataka ushauri nimrudishe kwao ama lah.
Piga chini
 
Hivi nyie wangese hamnaga hasira za ghafla umshushie mbata kadhaa kwanza za papo kwa hapo....Mimi mademu tu nawafyatua mbata sana na hawaniachi wananiambiaga Nina mkono mwepesi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mke wangu ananipikia chakula kilichoungua kila siku. Nimejaribu kumfundisha lakini amekuwa mkaidi kufuata maelekezo yangu. Hataki kufundishwa wala kuelekezwa chochote. Kama mnavyofahamu vyakula ni gharama sana.

Imekuwa kama nateketeza pesa zangu kwa kumwaga vyakula vilivyoungua kila siku. Amekuwa akikoroga wali hata mara 10 na ninapomwelekeza anakuwa jeuri. Moto wa gesi anawasha kama anataka kuchoma sufuria na sio kupika chakula, Sasa nataka ushauri nimrudishe kwao ama lah.
Samahani naomba kufahamu. Huu uzi wako unahusiana na namna kina Mwigulu wanavyouunguza uchumi wetu na hawaambiliki? Au uzi unahusu mama watoto wako ambaye ameshapata kidumu chake pembeni na sasa anasaka sababu umtimue?

Nisaidie hapo ili niweze kukushauri
 
Sasa aliyekwambia uoe tako ni nani? Si ulisema mwanamke uzuri, akili mtatumia za kwako, tumieni sasa [emoji28][emoji28]
 
Mwambie aingie you tube kuna cooking class za kila chakula
 
Jf Raha Sana yaani nimecheka Sana eti anakoroga wali mala kumi!! Pole Sana mkuu huo ndo mzigo wako ubebe tu mkuu! Hata sisi tunamizigo yetu tumenyuti tunaibeba kimyakimya, hata hivyo tatizo dogo tu Hilo we tafuta house girl wa kitanga awe anakupikia misosi mitamu! huyo mkeo mwachie jukumu la kukupa utelezi tu na kuzaa watoto.
Nadhani solution nzuri ni kumpeleka shule ya mapishi, siku house girl wa kitanga asipokuwepo itakuaje?
 
Back
Top Bottom