malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Sasa mtu anawazazi alelewe na watu wangine sikukwepa majukumu wazaziWaondoke kwenda wapi
Ndugu wawe na mipaka, sio kukaa bila utaratibu wanandoa wengine wanapenda kujiachia hata sebleni.Acha uchoyo.
Mke ni kama nae anata kuishi nae kuridhisha ndugu zakeHizi mambo ungejadili na mkeo sisi tutakupotosha tu, mkeo anamjua huyo nduguyake kaa chini msolve hii ishu...
Mke anakwambia kama mfanyakazi wa ndani anakaa kwanini ndugu yake asikaeDuh pole hio situation ngumu sana
Ndugu kama hajaja kwa jambo la ulazima masomo,kutibiwa,kazi asepe arudi kwao kusalimia mwisho wiki moja akikaa sana mwezi mmoja unamtosha, vinginevyo hatutaelewanaMke ni kama nae anata kuishi nae kuridhisha ndugu zake
Ndio..Kwani walikuja bila mke kukutaarifu ?
Kakosea sana anapaswa akuambie maake maisha yanahitaji pesa na Kama ni mtu ambaye ni mchumi asehNdio..
Ndugu alikuja kukaa nae likizo ya shule Ile yakumaliza shule ya miezi3 ...tumekaa nae miezi3 Sasa anatokea nyumbani kwangu nawazazi wake wote wapo hai Sasa mke unamuhoji ananuna anakwambia mbona mfanyakazi wandani ye anakaa kwanin ndugu yake wa damu asikae nabakia kumshamgaa tuNdugu kama hajaja kwa jambo la ulazima masomo,kutibiwa,kazi asepe arudi kwao kusalimia mwisho wiki moja akikaa sana mwezi mmoja unamtosha, vinginevyo hatutaelewana