Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Hongera sana, umeletewa nguvu kazi hapo, wapeleke shamba wakang'oe visiki, na hizi mvua mvua hizi ni vizuri kuzitumia vizuri kwa kilimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa haya maisha ya dar, ya kununua maji, vitumbua, nyanya, vitunguu,maharage, mchicha, kutafuta nauli ya dala dala; hapana, warudi walikotoka tu.Uchoyo unakusumbua. Hawa jamaa wakikaa kwako wiki si utakimbia Nyumba. Hao wageni wanapunguza nini kwani.
View attachment 3221076
Haha Dah😂😂😂Bado Msimu wa Masika Huu, Usiondoe nguvu kazi Tafuta Mashamba waanze Kulima Wiki Hawatoboi.
BalaaKwa haya maisha ya dar, ya kununua maji, vitumbua, nyanya, vitunguu,maharage, mchicha, kutafuta nauli ya dala dala; hapana, warudi walikotoka tu.
😀 😀 wameshindikanaHawaondokagi hao mzee hata mfanyie sebuleni.
Yani ndio wanawatangaza kwenye magroup ya ukoo
Show kaliiii!Panga na mkeo mzagamuane huku anapiga miguno ya hali ya juu kwa sauti, kama ni mtu anaejielewa lazima asepe
Anachezea Sana Fursa😂Haha Dah😂😂😂
We mbona uko nje huwaambii ndugu zako wakwee pipa muishi nao majuu
Nakazia, na Wasambaa na Wapogoro wanapenda kujazana sana kwa ndg, nyumba nje kama msikitini, vikandambili kibao Huna mda wa kupumzika, kutwa kucha wako na TVUmeoa Mmbulu kazi unayo hao hata pasipikwe apo home hawaondoki watashinda tu Njaa.
Na tutoke tuende wapi..sasa!Wakuu hii imekaaje mke kuleta ndugu bila taarifa kuja kukaa likizo nakusalimia nakukaa miezi bila kuondoka..mke akiulizwa anasema anaogopa kumwambia atamwambiaje ataona amfukuza
Wakike hawanashida Mkuu 🤣Ndio niwakike wamiaka15
mstaarabu lazima asepe, sema kwakuwa bado mwanafunzi unashangaa anasikia lakini anavungaShow kaliiii!
Kwamba kwako ndio kwa kupumzikia au sio😂Ndugu aje kwangu kupumzika?🤣🤣🤣yani utoke uko uje kwangu kupumzika? Sikatai ndo iwe miezi ?
Nimwanafuzi na bahati mbaya mim Sina kazi zozote zaid ya kazi za nyumbani ambapo mfanyakazi yupoMfanye mwanafamilia, anza kumpa majukumu kama kazi za shamba n.k
Ndo maana nikamwambia akae na mkewe wa solve Hilo bossNdio wakae miezi mitatu bila mipango? wanamuonea jamaa