malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
- #61
Sinamashamba Wala silimiHongera sana, umeletewa nguvu kazi hapo, wapeleke shamba wakang'oe visiki, na hizi mvua mvua hizi ni vizuri kuzitumia vizuri kwa kilimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sinamashamba Wala silimiHongera sana, umeletewa nguvu kazi hapo, wapeleke shamba wakang'oe visiki, na hizi mvua mvua hizi ni vizuri kuzitumia vizuri kwa kilimo.
Acha roho mbaya mi nikajua mtu mzimaNdio niwakike wamiaka15
Waambie unataka uanzishe biashara ya genge, wawe wanauzaSinamashamba Wala silimi
Watasema mjiachie sebleni kwani nyie furnitureNdugu wawe na mipaka, sio kukaa bila utaratibu wanandoa wengine wanapenda kujiachia hata sebleni.
Sasa vipi ndugu mnahamia bila sababu maalum?
Pokea tu. Sababu ya nini wamekuja kwa ndugu yao.Kwaiyo nikiletewa niwe napokea tu bila sababu maalumu
Sasa nibint mdogo miaka16Kama huyo mgeni ni wakike onesha kumjali mbele ya mkeo uone hutamuona tena hapo
Mbona we huko majuu hupeleki ndugu zako ukae naoPokea tu. Sababu ya nini wamekuja kwa ndugu yao.
Deka kwa shemeji zako.
Kwadalili nazoziaona mke Ni anataka kuleo watoto wandugu zake kuwafurahishaKumbe kitoto cha miaka 15? Hiyo sasa ni roho mbaya, angekuwa mtu mzima ungekuwa na haki ya kumtimua!
Kwanini mkuu 😂Umeoa Mmbulu kazi unayo hao hata pasipikwe apo home hawaondoki watashinda tu Njaa.
Kwamba kwako ndio kwa kupumzikia au sio😂
Hata mimi nilivyoona kumbe ni mtoto nimeishia kucheka!😂Kumbe kitoto cha miaka 15? Hiyo sasa ni roho mbaya, angekuwa mtu mzima ungekuwa na haki ya kumtimua!
Bila Mnyatulu na Mnyeramba kwenye hii orodha yako basi huo ni uzushi.Kama mke wako sio mjita, mmburu, nyamwezi, watu wa visiwa vya victoria, basi sijui..
Hapo unatakiwa kuonyesha nafasi yako ya u-baba kwenye familia. Mwambie asaidiane na msichana wa kazi, haijalishi kama mfanyakazi unalimpa yeye haumlipi. Utamsaidia kujifunza mambo mbalimbali yatakayo kuwa msaada hapo baadae kwenye familia yake. Atakukumbuka sanaa, ni baadhi ya watu tuu ndiyo ambayo walifanikiwa kutoka nyumbani na moja kwa moja kuanzisha maisha yao lakini tulio wengi tumepita kwenye nyumba za watu hata kama ni nyumba moja huko unapata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali.Nimwanafuzi na bahati mbaya mim Sina kazi zozote zaid ya kazi za nyumbani ambapo mfanyakazi yupo
Uchoyo wapi naleaje mtu ambae baba na mama wapo nipewe jukumu lakulea mimHata mimi nilivyoona kumbe ni mtoto nimeishia kucheka!😂
Watoto hawana tatizo hata wakija kukaa kwangu milele muhimu wafate sheria ila watu wazima ndio tatizo.
Mleta mada ni mchoyo..!
Binti amekua niwakumuendesha bint wakaziHapo unatakiwa kuonyesha nafasi yako ya u-baba kwenye familia. Mwambie asaidiane na msichana wa kazi, haijalishi kama mfanyakazi unalimpa yeye haumlipi. Utamsaidia kujifunza mambo mbalimbali yatakayo kuwa msaada hapo baadae kwenye familia yake. Atakukumbuka sanaa, ni baadhi ya watu tuu ndiyo ambayo walifanikiwa kutoka nyumbani na moja kwa moja kuanzisha maisha yao lakini tulio wengi tumepita kwenye nyumba za watu hata kama ni nyumba moja huko unapata fursa ya kujifunza mambo mbalimbali.