Mke kuleta ndugu likizo kupumzika na kukaa miezi bila dalili ya kuondoka

Mke kuleta ndugu likizo kupumzika na kukaa miezi bila dalili ya kuondoka

Angekuwa mwanamke ndio kaanzisha huu uzi, ungesikia wanawake wana roho mbaya hawapendi ndugu wa mume, wanapenda ndugu zao tu ndio wawatembelee
Tàtizo wanaume tunakufa na tai shingoni, yawezekana jamaa bajeti inamtatiza badala awe muwazi anaogopa kuonekana mwanaume suruwali.
Amwambie tuu mkewe madeni yamemzidia mke ataelewa siyo kutoa sababu za kinyonge.
 
Ndugu alikuja kukaa nae likizo ya shule Ile yakumaliza shule ya miezi3 ...tumekaa nae miezi3 Sasa anatokea nyumbani kwangu nawazazi wake wote wapo hai Sasa mke unamuhoji ananuna anakwambia mbona mfanyakazi wandani ye anakaa kwanin ndugu yake wa damu asikae nabakia kumshamgaa tu
Wape likizo wote!
 
Wakuu hii imekaaje mke kuleta ndugu bila taarifa kuja kukaa likizo nakusalimia nakukaa miezi bila kuondoka..mke akiulizwa anasema anaogopa kumwambia atamwambiaje ataona amfukuza
Kwakuwa wewe ni bwege.
 
Wakuu hii imekaaje mke kuleta ndugu bila taarifa kuja kukaa likizo nakusalimia nakukaa miezi bila kuondoka..mke akiulizwa anasema anaogopa kumwambia atamwambiaje ataona amfukuza
Hata namna ya kuongea na mkeo unataka tukufundishe?.
 
Back
Top Bottom