ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kwani shule ada unamlipia wewe?Uchoyo wapi naleaje mtu ambae baba na mama wapo nipewe jukumu lakulea mim
Chakula tu kinakutoa roho? Akiumwa wapigie simu wazazi wake watume pesa ya matibabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani shule ada unamlipia wewe?Uchoyo wapi naleaje mtu ambae baba na mama wapo nipewe jukumu lakulea mim
Sasa kama mtu uliletewa kwa kupumzika Kisha ubabadilishiwa jukumu unapewa lakuleaUwepo wake hapo unakuathiri kwa namna gani?...jinsia na umri wa mgeni?...pia aina ya undugu kati yake na mgeni?...tuanzie hapo please!!!
tafadhari hilo suala umelichukulia too negative,...naomba unijibu kwanza ndipo msaada unafuata, ..Sasa kama mtu uliletewa kwa kupumzika Kisha ubabadilishiwa jukumu unapewa lakulea
Haiathiri chochote ila nikuwa mtu anakuletea watu bila taarifaSasa kama mtu uliletewa kwa kupumzika Kisha ubabadilishiwa jukumu unapewa lakulea
Sinwar kafufuka!Kwaiyo nikiletewa niwe napokea tu bila sababu maalumu
Tàtizo wanaume tunakufa na tai shingoni, yawezekana jamaa bajeti inamtatiza badala awe muwazi anaogopa kuonekana mwanaume suruwali.Angekuwa mwanamke ndio kaanzisha huu uzi, ungesikia wanawake wana roho mbaya hawapendi ndugu wa mume, wanapenda ndugu zao tu ndio wawatembelee
Huo ndio uafrka kamili, tafuta Shamba nenda nao kulima ,wataondoka tuu!Wakuu hii imekaaje mke kuleta ndugu bila taarifa kuja kukaa likizo nakusalimia nakukaa miezi bila kuondoka..mke akiulizwa anasema anaogopa kumwambia atamwambiaje ataona amfukuza
Hata wagogo!Kama mke wako sio mjita, mmburu, nyamwezi, watu wa visiwa vya victoria, basi sijui..
AiseeNdio niwakike wamiaka15
Wape likizo wote!Ndugu alikuja kukaa nae likizo ya shule Ile yakumaliza shule ya miezi3 ...tumekaa nae miezi3 Sasa anatokea nyumbani kwangu nawazazi wake wote wapo hai Sasa mke unamuhoji ananuna anakwambia mbona mfanyakazi wandani ye anakaa kwanin ndugu yake wa damu asikae nabakia kumshamgaa tu
Hilo boga limeoza!Wamekuja kwa ndugu yao, wewe kinakukera nini?
Ukipenda boga upende na ua lake.
Usiseme hivo ungeulizia kwanza uwezo wake mtoa mada, huenda na yeye ungaunga mwana alafu unataka tena apokee mizigo asiyo iweza,Kwani shule ada unamlipia wewe?
Chakula tu kinakutoa roho? Akiumwa wapigie simu wazazi wake watume pesa ya matibabu.
Hio chuki yako dhidi ya ngosha inaonesha wazi walisha kujeruhi marinda,qmmakeWasukuma hao
Kwakuwa wewe ni bwege.Wakuu hii imekaaje mke kuleta ndugu bila taarifa kuja kukaa likizo nakusalimia nakukaa miezi bila kuondoka..mke akiulizwa anasema anaogopa kumwambia atamwambiaje ataona amfukuza
Hata namna ya kuongea na mkeo unataka tukufundishe?.Wakuu hii imekaaje mke kuleta ndugu bila taarifa kuja kukaa likizo nakusalimia nakukaa miezi bila kuondoka..mke akiulizwa anasema anaogopa kumwambia atamwambiaje ataona amfukuza
Hata mama yako nilimrarua marinda,gwanyoko otemyagaHio chuki yako dhidi ya ngosha inaonesha wazi walisha kujeruhi marinda,qmmake