Mke kuleta ndugu likizo kupumzika na kukaa miezi bila dalili ya kuondoka

Mke kuleta ndugu likizo kupumzika na kukaa miezi bila dalili ya kuondoka

Inaboa mno...alafu mtu analia kabisa...yaan kwake nibora mara elfu awaridhishe ndugu wamuone wamaana sana...Cha ajabu Sasa kwao mpaka wanakua wazazi wake hawajawahi kukaa na ndugu yoyote zaid ya watoto wao ambao ndo huyu mke na kaka zake na dada zake..kukaa ndugu kwao isipokua kwa sababu maalumu...Cha ajabu Sasa yeye mke ndo analazimisha kufurahisha ndugu
Pole sana,naelewa unachopitia cuz pia yalinikuta,tupo mimi,yeye na first born wetu na dada wa kazi,ndugu zake nikawa naona wanaongezeka tu,katika umri wa miaka 27 nilikua na watu home tisa...baadae akaanza sema nimetembea na mdogo wake aliemleta,Yani basi tu ... Jiongeze kidogo mkuu
 
Pole sana,naelewa unachopitia cuz pia yalinikuta,tupo mimi,yeye na first born wetu na dada wa kazi,ndugu zake nikawa naona wanaongezeka tu,katika umri wa miaka 27 nilikua na watu home tisa...baadae akaanza sema nimetembea na mdogo wake aliemleta,Yani basi tu ... Jiongeze kidogo mkuu
Ulitatua vip hiyo changamoto
 
Mke anakwambia kama mfanyakazi wa ndani anakaa kwanini ndugu yake asikae
Mfanyakazi aende likizo ya ghafla huyo ndugu afanye mishe zote pambaaf zake, aende sokoni, apike, afue, adeki vyoote kama hajaomba nauli mwnywe

Jibu gani la kiboya hilo huyo mkeo nae
 
Ndio niwakike wamiaka15
Wa kike kidogo ana faida, atawasaidia kazi za ndani, ingekua wa kiume hapo sawa, haifai kulea mwanaume anayeweza kujitafuta. Huyo ndugu wa kike miaka 15, ina maana hasomi shule?
 
Wa kike kidogo ana faida, atawasaidia kazi za ndani, ingekua wa kiume hapo sawa, haifai kulea mwanaume anayeweza kujitafuta. Huyo ndugu wa kike miaka 15, ina maana hasomi shule?
Ishi naye kwa upendo, huwezi jua ndo kakuletea baraka huyo
 
Acheni roho mbaya nyie vijana

Lazima utakuwa ni kijana wewe huna chochote unachokijuwa
 
Angekuwa mwanamke ndio kaanzisha huu uzi, ungesikia wanawake wana roho mbaya hawapendi ndugu wa mume, wanapenda ndugu zao tu ndio wawatembelee

Hujui familia nyingi anayetoa huduma ni mwanaume, Baba.
Sasa kama anayetoa huduma halalamiki wewe usiyetoa huduma unalalamika nini kama sio Roho Mbaya

UPEO mdogo
 
Wakuu hii imekaaje mke kuleta ndugu bila taarifa kuja kukaa likizo nakusalimia nakukaa miezi bila kuondoka..mke akiulizwa anasema anaogopa kumwambia atamwambiaje ataona amfukuza
Acha matumizi ya siku 2, aga unaenda safari, kaa huko wiki nzima ukirudi hutakuta mgeni yeyote. Njaa haijawahi kuwa na rafiki.
 
Hujui familia nyingi anayetoa huduma ni mwanaume, Baba.
Sasa kama anayetoa huduma halalamiki wewe usiyetoa huduma unalalamika nini kama sio Roho Mbaya

UPEO mdogo
Na wewe hujui kama familia nyingi anayefanya kazi za nyumbani ni mama, au unadhani hachoki kuwafanyia watu hizo kazi kila siku, upeo wako mkubwa uko wapi hapo
 
Back
Top Bottom