Mke mjamzito, nataka kukata bima NHIF ushauri

Mke mjamzito, nataka kukata bima NHIF ushauri

Unaishi wapi? Kama upo hoi hahe kama mimi mambo yasiwe mengi nenda manispaa ustawi wa jamii kuna bima unalipa 40,000 tu lakini hauruhusiwi kutibiwa kwenye national referral hosp. Na ni bima kwa ajili ya hosp za serikali tu. Hilo ulizingatie. Mimi imeniokoa sana wife toka mwanzo wa ujauzito mpaka alipojifungua tar 19/1 na Hadi leo anaitumia hiyo.
Ooh asante kwa wazo zuri
 
Wakuu heshima yenu

Nataka kumkatia mke wangu bima ya NHIF,naomba anaejua utaratibu na gharama zake anijuze,hasa hizi ambazo wanasema ni reviewed

Nafanya hivyo kwa sababu ni mjamzito,lakini pia namna ya kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya ambazo ni wazi atazihitaji sana siku za mbeleni

Napokea ushauri...
But haitacover huduma za kujifungua kawaida hata operation
 
Kujifungua si gharama boss. Baada ya kujifungua mkatie bima mama. Mtoto wako atatibiwa bure hospitali yyte ya serikali mpaka miaka mitano. Nashauri bima ichukue atleast mtoto akiwa na miaka mitatu. Then mama ajikatie bima mwenyewe mtoto atakua beneficiary, kwasasa bima haitokusaidia kwa mwaka mzima.
Acha kumpotosha.

Mtoto under 5 atatibiwa bure lakini siyo kwa kila ugonjwa na kila kipimo.
 
Hujawahi kua na mtoto wewe, hunielezi chchte na unaishi hapo hapo bongo. Na kama unae basi hufatilii mambo ya nchi yako, ww ni keyboard learner tu. Tembelea hospitali za serikali ujifunze, uone na huduma zinazotolewa. Tunawashinda hata sisi tulio ughaibuni kufahamu vitu. Au upo ughaibuni pia?.
Eti siasa, seriously?
Haupo sahihi kwa 100% ila unaandika kwa confidence mno.

Mfano Mtoto wa Dr Gwajima akijifungua mtoto kisha mtoto akaumwa, akampeleka hospitali huyu mtoto anafaa kuingizwa kundi la msamaha?
 
Back
Top Bottom