musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
- Thread starter
- #41
Kwani mzungu anakosa ama Ana nini cha ziada kwenye utu wa mtu kakaMimi akiwa mzungu sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mzungu anakosa ama Ana nini cha ziada kwenye utu wa mtu kakaMimi akiwa mzungu sawa
Ooh asante kwa wazo zuriUnaishi wapi? Kama upo hoi hahe kama mimi mambo yasiwe mengi nenda manispaa ustawi wa jamii kuna bima unalipa 40,000 tu lakini hauruhusiwi kutibiwa kwenye national referral hosp. Na ni bima kwa ajili ya hosp za serikali tu. Hilo ulizingatie. Mimi imeniokoa sana wife toka mwanzo wa ujauzito mpaka alipojifungua tar 19/1 na Hadi leo anaitumia hiyo.
Kipo mkuuMimi nilimkatiaga wife ile ya 192,000 kipindi alipokuwa na mimba miaka 3 nyumba ila sidhani kama hicho kifurushi bado kipo.
Sababu ya kuumwa manjano ni ipiMkuu mtoto aliyezaliwa ana umri gani, atakuwa kavuka mi5!? Yaani kazaliwa hapo hapo hospital, kesho yake akapata manjano.
Family nzimaWewe wa kwako ume mkatia😂🤣
Sio miezi 2 mkuu??Nilisikia kwa sheria za sasa bima inakuwa active 6 months baada ya kuifungua. Fuatilia ujue details zote. Ila ni move nzuri maana gharama za matibabu bila bima ni mlima.
Ina pendeza, ni Ile ya premium au standard??Family nzima
Ndio maana nikasema nimesikia, sina uhakika kama ni kweli. Afuatilie kujua ukweli.Sio miezi 2 mkuu??
But haitacover huduma za kujifungua kawaida hata operationWakuu heshima yenu
Nataka kumkatia mke wangu bima ya NHIF,naomba anaejua utaratibu na gharama zake anijuze,hasa hizi ambazo wanasema ni reviewed
Nafanya hivyo kwa sababu ni mjamzito,lakini pia namna ya kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya ambazo ni wazi atazihitaji sana siku za mbeleni
Napokea ushauri...
Usitake kufahamu ni aina gani aiseeehIna pendeza, ni Ile ya premium au standard??
Hakupata maziwa ya kutosha.Sababu ya kuumwa manjano ni ipi
Si nataka kuji funza 😂😂Usitake kufahamu ni aina gani aiseeeh
Acha kumpotosha.Kujifungua si gharama boss. Baada ya kujifungua mkatie bima mama. Mtoto wako atatibiwa bure hospitali yyte ya serikali mpaka miaka mitano. Nashauri bima ichukue atleast mtoto akiwa na miaka mitatu. Then mama ajikatie bima mwenyewe mtoto atakua beneficiary, kwasasa bima haitokusaidia kwa mwaka mzima.
sawa mkuu, beside naona aji pange akate zile nzuri kidogo.Ndio maana nikasema nimesikia, sina uhakika kama ni kweli. Afuatilie kujua ukweli.
Ujifunze kwa tabia ya kubaka mikono na sabuni? Vikatie bima hivyo hivyo.Si nataka kuji funza 😂😂
Kwamba mnamuombea mtoa thread, mtoto wake aliyetumboni aumwe sio?Acha kumpotosha.
Mtoto under 5 atatibiwa bure lakini siyo kwa kila ugonjwa na kila kipimo.
Aiseeee kumbe sisi wafanyakazi tunabebwa sana na serikali.Hizi hapa kiongozi
Haupo sahihi kwa 100% ila unaandika kwa confidence mno.Hujawahi kua na mtoto wewe, hunielezi chchte na unaishi hapo hapo bongo. Na kama unae basi hufatilii mambo ya nchi yako, ww ni keyboard learner tu. Tembelea hospitali za serikali ujifunze, uone na huduma zinazotolewa. Tunawashinda hata sisi tulio ughaibuni kufahamu vitu. Au upo ughaibuni pia?.
Eti siasa, seriously?
Nimejibu hoja yako huna haja ya kuhamisha magoliKwamba mnamuombea mtoa thread, mtoto wake aliyetumboni aumwe sio?