Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiufupi familia yenu mna kasumba ya kuingilia mambo ya watu.Habari,
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata bi mkubwa nae alivyo tambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu bimkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.
Kikwetu hiyo inaitwa Kaangukiwa na Nyumba. Kwamba wifi hakubaliki na babamkwe, mamamkwe na nduguze brother, lakini brother kakaza shingo.Habari,
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata bi mkubwa nae alivyo tambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu bimkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.
Umpondue wifiKapewa mkia ,sijui Kama wewe unaweza kumpatia kaka
Weka picha yao wakiwa pamoja wahuni tuitathminiHabari,
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu bimkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Nyie mnauzuri gani kwani? Mnanyea mawinguni?
Haya madini aisee🤣Huyo ndio shemeji yako kuwa na adabu, ulitaka alete pisi kali ili awafurahishe nyie halafu akateseke na ndoa yake?
Bro kachagua mama bora wa watoto wake na si kwa ajili ya tamaa ya mwili wake.Habari,
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu bimkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.
Kama kweli bi Mkubwa wako ni mtu wa kiroho, basi mwambie akemee ili vifungo alivyofungwa kaka yako vifunguliwe, awe huru.Habari,
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu bimkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.
Yakimkuta ndoani ndugu ndio watakaobeba huo mzigo.