BRO LEE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2011
- 830
- 603
Huo ubovu ni upi, yeye ndo mwenye kuoa na ndo anajua yaliyomoHabari,
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu bimkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.