Mke mtarajiwa wa kaka hatujamuelewa kabisa

Mke mtarajiwa wa kaka hatujamuelewa kabisa

Kuna wanaume hawapendi complications wakati wa kutongoza na wakati wa mahusiano, wanaamini mwanamke mwenye sura na shepu mbaya ni rahisi kumpata..yani mtu anaona mademu wenye sura mbaya ndo class yake..

Utakuta bro wa mtoa mada hajalogwa, kaona mademu wazuri sio class yake, hataki stress kwenye mahusiano Nyamwage Joanah
Swali la muhimu ni kaka yake mleta mada ana muonekano mzuri,ama pesa ipo
 
Nafikiri kwa wa kuwa muoaji mwenyewe anamwelewa inatosha, atapambana na hali yake. Mke akija kujua mnaleta vikwazo na ndoa ikafanikiwa, itakuwa changamoto kwenu kwa kweli.
 
Habari,

Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata Bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu Bi Mkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.
 
Back
Top Bottom